Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Hahaha unaishi wapi mkuu..... Uswazi kawaida chukua watoto wa kishua uji kusikia maajabu kama Ayo.. utaenjoi ila kuwapata inahitajika uwe classic na usimamie ukucha hasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nataka u makamu mwenyekiti tu 😀[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwa ubunifu huo nnauhakika utapanda vyeo haraka sana kwenye chama chetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wakishua si utaweka maisha yako hatarini kaka.. Maana kuchezea shaba nje nje broHahaha unaishi wapi mkuu..... Uswazi kawaida chukua watoto wa kishua uji kusikia maajabu kama Ayo.. utaenjoi ila kuwapata inahitajika uwe classic na usimamie ukucha hasa
Huyo wako ni mwelewa.. Hawa wa kwetu ukituma message hajibu.. Anataka umpigie tu.. Na ukipiga ni mizinga kama hivyo mzeeMi nlikua na huyo dem kina nikumuuliza anaendeleaje ananiambia ni mgonjwa kwa muda wa miez 6 hakuwahi kupona, kila nikimwambia mbona hunitafuti ananijibu Hana salio, nikawa namuunga kifurushi cha sms cha buku mbili tu mwenz mzima huku nikimwambia mi spend kuongea napenda kuchat tu[emoji23][emoji23]
Sent using Gun Trigger
🤣🤣Acha kulalama toa pesa mkuu, hadi hela ya vocha,chakula unaona big deal kutoa aisee,kwa ubahili huo, watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji tu.
Acha kulalama toa pesa mkuu, hadi hela ya vocha,chakula unaona big deal kutoa aisee,kwa ubahili huo, watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji tu.