Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mbagala
Kigamboni
Tandika
Kigamboni
Tandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlimani City
Vijana Br.
Oysterbay Br.
Tegeta Br.
Mnazi mmoja.Hii vijana branch iko wap mkuu??
Kama wanaingiza faida, kuna shida gani kuweka bonas. Na kama kuna bonas mfanyakaz anaanzaje kusema kachoka kazi?Huduma kuwepo jumatatu mpaka jumapili ni kuwachosha wafanyakazi.
Kuna kipindi ilo branch lilituokoaga na deadlineShukran kamanda
Mwanangu ya kweli haya? Maana kwa location nayotokea, hiz zinaweza kuwa the nearest ones kuepa usumbufu wa mliman cityTandika pia jumapili wanafungua na mbagala branch pia
Dharura ni kitu kinatukumba wengi hivyo ni jambo jema kama wamgekua wana fungua kila sikuKuna kipindi ilo branch lilituokoaga na deadline
Maisha si hela tu, kuna wakati hela haifanyi kazi; afya ya akili inahitaji mtu awe na mapumziko.Kama wanaingiza faida, kuna shida gani kuweka bonas. Na kama kuna bonas mfanyakaz anaanzaje kusema kachoka kazi?
Mwanangu ya kweli haya? Maana kwa location nayotokea, hiz zinaweza kuwa the nearest ones kuepa usumbufu wa mliman city
Hii imekaa poa sanaNenda tandika huduma unapata
Nakubaliana na wewe. Ila ni wachache sana walio kwenye level ya kuwa na mtazamo huu. Wengi wetu bado tuna ukata na pesa hivyo tunaweza kimbiza mwanzo mwishoMaisha si hela tu, kuna wakati hela haifanyi kazi; afya ya akili inahitaji mtu awe na mapumziko.
Ni sahihi, muhimu tusikubali kuwa watumwa wa pesaNakubaliana na wewe. Ila ni wachache sana walio kwenye level ya kuwa na mtazamo huu. Wengi wetu bado tuna ukata na pesa hivyo tunaweza kimbiza mwanzo mwisho
Kazi nayo fanya haina mapumziko kabisa...watu wanataka dawa/ kuumwa daily so ni ngumu kupumzika nazungumza Kama mdau wa afya mwandamizi senior.Maisha si hela tu, kuna wakati hela haifanyi kazi; afya ya akili inahitaji mtu awe na mapumziko.
Kazi nayo fanya haina mapumziko kabisa...watu wanataka dawa/ kuumwa daily so ni ngumu kupumzika nazungumza Kama mdau wa afya mwandamizi senior.
wakuu heshima kwenu.
Naomba kufahamishwa kama kuna branch yoyote ya crdb bank ambayo ina operate jumapili kwa huduma za kawaida kama ilivyo siku zingine hapa jijin Dar es salaam, je ipo???
Ahsanten sana.
Doctor na mzee wangu umenitenga mshua 😂 👊Kazi nayo fanya haina mapumziko kabisa...watu wanataka dawa/ kuumwa daily so ni ngumu kupumzika nazungumza Kama mdau wa afya mwandamizi senior.
Wakazi wa Mwanza , kindly note this..Kenyatta Road Mwanza.
Miongozo ishatolewa ya kutosha chief.