Ni branch gani ya CRDB huwa inafunguliwa Jumapili?

Kazi nayo fanya haina mapumziko kabisa...watu wanataka dawa/ kuumwa daily so ni ngumu kupumzika nazungumza Kama mdau wa afya mwandamizi senior.
Mnatakiwa muwe wawili, angalau kuwepo na 'shift'; kufanya kazi zaidi ya masaa 8, hapo hakuna ufanisi, bali tunafanya kimazoea tu; mwili wa binadamu sio mtambo ndio maana kawekewa masaa maalumu; ata mtambo ukipata moto huwa unapumzishwa.​
 
wakuu heshima kwenu.
Naomba kufahamishwa kama kuna branch yoyote ya crdb bank ambayo ina operate jumapili kwa huduma za kawaida kama ilivyo siku zingine hapa jijin Dar es salaam, je ipo???
Ahsanten sana.

Kenyatta Road Mwanza.
 
Hope hao wafanyakazi wanapata mapumziko jumatatu maana kufanya kazi mfululizo inachosha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…