Super Don
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,978
- 1,781
Mkurya ana titi tamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkurya ana titi tamu sana
Inaonyesha wengi hatujaelewa thread! Soma tena unless unamjua huyo mchakarikaji juzi haujui ametokea wapiNdiyo huyohuyo,au humtaki kwa kuwa ni mke wa mtu? Dada mchakarikaji sana huyu. Hakai kibarazani kusafisha kucha na kubweteka na utajiri wa mimewe.
na mi mejiuliza!Jack Mengi??
AHAHAHAHAHHAHAHHAHA habari za kutwa mhenga mwenzangu!Inaonyesha wengi hatujaelewa thread! Soma tena unless unamjua huyo mchakarikaji juzi haujui ametokea wapi
nimependa hapo baada ya atleast......................................Hapa ni Commander Lady jay dee, Nancy sumari na Flavian matata hawa at least japo nao wana scandals zao but somehow they are trying to hustle sasa mtu kama wolper, Uwoya,tunda we don't know wat things they do zaidi ya kupishana nao milangoni sea cliff, Serengeti na Serena
hahahaa ni honge.......hamna unajua bwana kila mtu ana weakness yakeFunguka mkuu kidogo buanaaa![]()
![]()
I used to have the same fallacy........Yaani ni smart kwa vile amesoma Loyola??? does it make sense kweli, kwa hiyo waliosoma shule nyingine ni mambumbu sio?.......ni sawa na kusema waliosoma shule za vipaji maalum kama vile Ilboru, Kibaha, Kilakala etc wanaakili kuliko shule nyingine is that the case? wakati wa matokeo shule hizo tu ndo walikuwa wanapata Division one wengine zero? Performance ya wanafunzi inategemea vitu vingi sana.She's bright since she was at loyolites
What I meant mkuu nlischool nae le loyola she was a prefect and among the brightest students I ever met back at times. She was confident and had a leadership charismahahahaa ni honge.......hamna unajua bwana kila mtu ana weakness yake
I used to have the same fallacy........Yaani ni smart kwa vile amesoma Loyola??? does it make sense kweli, kwa hiyo waliosoma shule nyingine ni mambumbu sio?.......ni sawa na kusema waliosoma shule za vipaji maalum kama vile Ilboru, Kibaha, Kilakala etc wanaakili kuliko shule nyingine is that the case? wakati wa matokeo shule hizo tu ndo walikuwa wanapata Division one wengine zero? Performance ya wanafunzi inategemea vitu vingi sana.
Cha pili lazima uelewe kuna tofauti kati ya academic performance na how to handle life. Hakuna guarantee kwamba ukifaulu darasani utafaulu maisha. Kwamba kwa vile Jokate alipata Division One form six basi atafanikiwa kimaisha hakuna kitu kama icho maisha yanaishu nyingi kama ilivyo kuperfom darasani sijui kama umenielewa. Hii inafanana na ile notion kwamba wote waliosoma Law watafanikiwa kimaisha ila waliosoma Education wao kufeli maisha ndo walicho andikiwa, wakati si kweli kwamba malawyer wote ni successful na walimu wote ni failures wakati si kweli kufaulu maisha kwa mtu hapawi determine TU na alichosoma, alikotoka anachojua na kadhalika ingawa vinaweza kumsaidia pia. Yaani wa kati mwingine amesoma law amepatia maisha kuna mwingine kasoma law ile ile na kafeli maisha.......
Yap,ila kuna nguvu ya watu Fulani nyuma yao, Mollel Sina Sina shaka sanaJokate, Jacqueline mengi, na Dorice mollel anakujakuja
Hizo si nyumba za kulala wageni?Ok nishaelewa aiseeHapa ni Commander Lady jay dee, Nancy sumari na Flavian matata hawa at least japo nao wana scandals zao but somehow they are trying to hustle sasa mtu kama wolper, Uwoya,tunda we don't know wat things they do zaidi ya kupishana nao milangoni sea cliff, Serengeti na Serena
Asee!!
Asante, sijawahi kumsikia huyu bintiBorn and raised in Tanzania, Herieth Paul is one of the dark skinned models who are doing well in the fashion world today. As a model she has been to almost all major fashion weeks including New York, Parisand London fashion weeks.
utajuaje kama mzee mengi kainvest pesa zake afanye biashara ya fenicha.
huyu dada jacq alikua ni mdangaji pia..ila mdangaji clasic yani unaweza ingia serena unamkuta kakaa na glass ya wine anashusha taratibu..huku kapiga kimin cha hatari..na alivoendaenda shule ndo kabisa hakimshindi kitu.
asinase mimba za wanaume woote aje kunasa ya mzee mengi[emoji14] [emoji38]
hukuona trick ya kunasa mali?
yataka moyo kakangu..kuparamia kifuan na kumkatia mauno mzee kama babu yangu..siwez
Na JokateHapa ni Commander Lady jay dee, Nancy sumari na Flavian matata hawa at least japo nao wana scandals zao but somehow they are trying to hustle sasa mtu kama wolper, Uwoya,tunda we don't know wat things they do zaidi ya kupishana nao milangoni sea cliff, Serengeti na Serena
Anaishi Canada amekulia Mbagala nenda google..Asante, sijawahi kumsikia huyu binti
Faraja Nyalandu pia namuelewaHapa ni Commander Lady jay dee, Nancy sumari na Flavian matata hawa at least japo nao wana scandals zao but somehow they are trying to hustle sasa mtu kama wolper, Uwoya,tunda we don't know wat things they do zaidi ya kupishana nao milangoni sea cliff, Serengeti na Serena