Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lady jaydee alifanikiwa enzi flani alipokuwa na mghahawa.. Ila nae alitaka kujionesha anaweza kudanga akapata mzungu masaki biashara yake ikafa.. Sikuhizi karudi nyumba yake ya kimara tena anatumia gari aina ya toyota ipsum toka range rover hadi ipsum.Lady jay dee hao wengine janja tyuu
Huu Uzi sikutaka utaje mabinti wanasiasa. Rudia kuisomaMasogange, Kajala & Esta Bulaya
Kumradhi...Huu Uzi sikutaka utaje mabinti wanasiasa. Rudia kuisoma
Ana nini huyu? Kuna tetesi bosi wa mawingu alipiga tafu pale kutokana na yeye kupewa nyapu.Kumradhi...
Basi Zamaradi Mketema
Ana utajiri wa kufa mtu.Ana nini huyu? Kuna tetesi bosi wa mawingu alipiga tafu pale kutokana na yeye kupewa nyapu.
Corollajokete ana nini?
Na mi nashangaa si kaishia form four yule tena kapata fa fa fa?Jack naenda shule wapi? Wabongo huwa tunawapaisha kuliko walivyo hawa celebs
Kwani hana K?Ahaaaa...
Dah hao ni wachache na huenda hawapo.
Labda Halima Mdee.
Labda kiingereza na kujiweka kiwest kumemfanya ahisi ana shuleNa mi nashangaa si kaishia form four yule tena kapata fa fa fa?
Sema ukikauliza kanakwambia kamemaliza A level na blah blah kibao!
Hahahaaaaaa........Na mi nashangaa si kaishia form four yule tena kapata fa fa fa?
Sema ukikauliza kanakwambia kamemaliza A level na blah blah kibao!
Anayo hila haitumii kufanya miamalaKwani hana K?
Hana issue huyo. Ila wanasema anasaidia watoto wanaozaliwa njiti. Anafanya la maana, zaidi ya hapo hana jipya.Picha ya dorice mollel tunaiomba sisi ambao hatujawahi kumuona.
Yule uzungu mwingi ndo zakeLabda kiingereza na kujiweka kiwest kumemfanya ahisi ana shule
mniwie radhi naishi Shinyanga karibu na Kolomije, kudanga ni msamiati mpya mjini? Kwa unyenyekevu mkubwa naomba maana yakeKudanga sio kazi ndogo shoga angu...kwenda kunyonya mbupu za mzee zimenyauka hapana kwa kweli.. sema ukikosa option kwenye maisha unajilipua tu