Ni celebrity yupi wa kike hapa Bongo ana mafanikio ya kimaisha yasio na chembe ya mawaa ili mabinti wengine wamwige.

Ni celebrity yupi wa kike hapa Bongo ana mafanikio ya kimaisha yasio na chembe ya mawaa ili mabinti wengine wamwige.

Hapana tumuache kwanza mpaka apate uwaziri atuvuruge ndo itakuwa patamu
Lakini bado hana akili, hazitendei haki nafasi anazozipata ndio maana anajaribu kila nafasi na kote hatoboi. Labda wakimpa uwaziri atajituma maana ni nafasi isiyohitaji akili nyingi kuitumikia. Ningepata bahati hata moja alonayo ningekua role model wa wanawake wengi sana haki tena.
 
Lakini bado hana akili, hazitendei haki nafasi anazozipata ndio maana anajaribu kila nafasi na kote hatoboi. Labda wakimpa uwaziri atajituma maana ni nafasi isiyohitaji akili nyingi kuitumikia. Ningepata bahati hata moja alonayo ningekua role model wa wanawake wengi sana haki tena.
sawa mzigua tumekusomaaaa
 
Kudanga sio kazi ndogo shoga angu...kwenda kunyonya mbupu za mzee zimenyauka hapana kwa kweli.. sema ukikosa option kwenye maisha unajilipua tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenivunja mbavu zanguu..
kwakweli jack ana moyo haswaa
[emoji134] [emoji134]
btw ndo maisha alochagua labda.
hakuna anaependa shida
anayataka ya uvunguni shurti ainame
 
Hahahahaha aggy umenichekesha sana ulivyomaliza hapo..

Yap, ndio maana nikasema yeye doa lake ndio hilo.. Hata kama huko nyuma aliyafanya basi alifanya kwa usiri sana kulinganisha na hawa wengine..

I like Faraja pia, she is kinda clean..
cheka uongeze siku mkuu...mi mpaka sasa bado nawaza mdada maarufu aliesimama peke ake bila nguvu ya mwanaume au papuchi
sijampata..
nikimpata na mafanikio yake ndo atakua role model wangu kuanzia leo
 
Ila ma celebrity wa kike bongo wanachekesha, kwanza nionavyo, wao wanataka ki lazima wawe ma role model kwa wasichana wadogo wakidhani wana inspirations za maana hahahaaaa... Na kwa bahat mbaya sana kuna visichana vidogo vina akili za darasani vinajaribu kuwaangalia vi celebrity vya kike hapa bongo, kama wanawake wa maana, very sad. Dada ake m.a.k.a.m.b.a aliwahi kujiita role model wa wasichana hadharan, nlicheka. Ss ana ubav wa kujiita role model awamu hii ya tano?! Soon hatutakuwa na wanawake wa maana Tz hii, tutabaki na wanawake vilaza karibu nchi nzima, very sad indeed
 
cheka uongeze siku mkuu...mi mpaka sasa bado nawaza mdada maarufu aliesimama peke ake bila nguvu ya mwanaume au papuchi
sijampata..
nikimpata na mafanikio yake ndo atakua role model wangu kuanzia leo
Kwa hawa maarafu ni ngumu maana wanapitiwa na macho mengi sana ya wenye pesa zao..
 
yes iam...
na kwa uweza wa muumba ntafika..
kikubwa mi kutokata tamaa.
Sasa kwakuwa huwezi kumkatia kiuno mzee basi ebu tujaribu na mimi kijana mwenzio tena kapuku tu...

Hongera sana na nakutakia kila la heri
 
Ni kweli, kama Jack Mengi, ni kweli amefanikiwa na kwasasa anajituma sana even though mumewe ni billionea..

Lakini nae doa lake ndio hilo..

ila uyo si gold digger??? maana kachukua mume wa mtu
 
Back
Top Bottom