Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
mi najua kagusa university mwayaJack naenda shule wapi? Wabongo huwa tunawapaisha kuliko walivyo hawa celebs
kumbe...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi najua kagusa university mwayaJack naenda shule wapi? Wabongo huwa tunawapaisha kuliko walivyo hawa celebs
Lakini bado hana akili, hazitendei haki nafasi anazozipata ndio maana anajaribu kila nafasi na kote hatoboi. Labda wakimpa uwaziri atajituma maana ni nafasi isiyohitaji akili nyingi kuitumikia. Ningepata bahati hata moja alonayo ningekua role model wa wanawake wengi sana haki tena.Hapana tumuache kwanza mpaka apate uwaziri atuvuruge ndo itakuwa patamu
Hamna kitu hata certificate hanami najua kagusa university mwaya
kumbe...!!
sawa mzigua tumekusomaaaaLakini bado hana akili, hazitendei haki nafasi anazozipata ndio maana anajaribu kila nafasi na kote hatoboi. Labda wakimpa uwaziri atajituma maana ni nafasi isiyohitaji akili nyingi kuitumikia. Ningepata bahati hata moja alonayo ningekua role model wa wanawake wengi sana haki tena.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenivunja mbavu zanguu..Kudanga sio kazi ndogo shoga angu...kwenda kunyonya mbupu za mzee zimenyauka hapana kwa kweli.. sema ukikosa option kwenye maisha unajilipua tu
cheka uongeze siku mkuu...mi mpaka sasa bado nawaza mdada maarufu aliesimama peke ake bila nguvu ya mwanaume au papuchiHahahahaha aggy umenichekesha sana ulivyomaliza hapo..
Yap, ndio maana nikasema yeye doa lake ndio hilo.. Hata kama huko nyuma aliyafanya basi alifanya kwa usiri sana kulinganisha na hawa wengine..
I like Faraja pia, she is kinda clean..
Kwa hawa maarafu ni ngumu maana wanapitiwa na macho mengi sana ya wenye pesa zao..cheka uongeze siku mkuu...mi mpaka sasa bado nawaza mdada maarufu aliesimama peke ake bila nguvu ya mwanaume au papuchi
sijampata..
nikimpata na mafanikio yake ndo atakua role model wangu kuanzia leo
kujiheshimu na msimamo..viwe sifa kuu katika safar ya kutafuta mafanikioKwa hawa maarafu ni ngumu maana wanapitiwa na macho mengi sana ya wenye pesa zao..
Wenye misimamo hiyo ni 1 kati ya millioni.. Ni wachache sana, hope wewe unaweza kuwa miungoni mwao hehekujiheshimu na msimamo..viwe sifa kuu katika safar ya kutafuta mafanikio
yes iam...Wenye misimamo hiyo ni 1 kati ya millioni.. Ni wachache sana, hope wewe unaweza kuwa miungoni mwao hehe
Sasa kwakuwa huwezi kumkatia kiuno mzee basi ebu tujaribu na mimi kijana mwenzio tena kapuku tu...yes iam...
na kwa uweza wa muumba ntafika..
kikubwa mi kutokata tamaa.
[emoji38] asanteSasa kwakuwa huwezi kumkatia kiuno mzee basi ebu tujaribu na mimi kijana mwenzio tena kapuku tu...
Hongera sana na nakutakia kila la heri
Aggy niko serious ujue haha[emoji38] asante
nyau wewe..
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Aggy niko serious ujue haha
Ni kweli, kama Jack Mengi, ni kweli amefanikiwa na kwasasa anajituma sana even though mumewe ni billionea..
Lakini nae doa lake ndio hilo..
Oooohh yes..ila uyo si gold digger??? maana kachukua mume wa mtu