Unachanganya Mambo bro! Katiba ya, nchi inaruhusu, mzenj kugombea Bara! Sio issue ya chadema, hata kama wao, wananufaika, haimaniishi, ni, sahihi! Chadema IPO TZ, lazima, ifate katiba hii hii! Inayoruhusu Raisi kuiba, kuua, lakini hawezi, shitakiwa, chadema wanataka ibadilishwe, ili hata wao wakiingia ikulu, washitakiwe wakienda kinyume, wangeweza kukaa kimya,ili siku wakiingia ikulu, wanufaike na wawe majambazi kama CCM, mbunge analipwa 250K kila siku, na wapimzani, wanapokea, je kwa vile wanapinga matumizi ya hovyo,hutaki watumie? Hata posho alizolipwa lisu, ni, kwa mujibu wa sheria sio hisani ya Lumumba!
Bro hii nchi sio Mali ya CCM, bunge,ikulu, jeshi, tiss,takukuru sio taasisi za, CCM!
Nyie ma CCM jifunzeni kutoka Senegal, Rais wa, chama tawala kakubali kushindwa, kaachia madaraka! Kijana mbichi,ambae hajawahi hata kuwa diwani, kawa, Raisi!
Kuna majitu kama kinana,kikwete, warioba, wanapenda, kutuaminisha bila wao na CCM, nchi itakufa! Tunajua, kwanini wanangangania madaraka ni, ni majizi