johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Tofautisha 🐼Ubunge na nafasi ya kuteuliwa ni mambo mawili tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofautisha 🐼Ubunge na nafasi ya kuteuliwa ni mambo mawili tofauti.
Tafuta sifa kwenye makabrasha uone sifa za mtu kuwa mbunge.Tofautisha 🐼
Kiukweli akili za Chadema wanazijuaga wao wenyewe yaani ni Ndumilakuwili haswa
Wanasema Rais ni mzanzibar na kusahau wao walimkata Mtanganyika pale Kinondoni kwenye Uchaguzi mdogo na kulazimisha Naibu katibu mkuu wao Zanzibar Salum Mwalimu aje kugombea
Wakati mwingine Chadema ni wa kupuuzwa ila kuna baadhi ya maeneo wanastahili Sifa
Ahsanteni 🐼🔥
Ni hawa hawaKiukweli akili za Chadema wanazijuaga wao wenyewe yaani ni Ndumilakuwili haswa
Wanasema Rais ni mzanzibar na kusahau wao walimkata Mtanganyika pale Kinondoni kwenye Uchaguzi mdogo na kulazimisha Naibu katibu mkuu wao Zanzibar Salum Mwalimu aje kugombea
Wakati mwingine Chadema ni wa kupuuzwa ila kuna baadhi ya maeneo wanastahili Sifa
Ahsanteni 🐼🔥
..katiba imebainisha mambo yapi ni ya muungano.
..ingekuwa kila kitu ruksa mambo ya muungano yasingebainishwa.
..Na Husseni Mwinyi alikuwa mbunge wa Mkuranga.
..Katiba inawaruhusu Waznz kugombea ubunge wa MUUNGANO kwa majimbo ya Tanganyika, na Zanzibar.
..Sasa ili kutenda HAKI Zanzibar inatakiwa iondoe zuio la Watanganyika kugombea ubunge wa muungano kwa majimbo ya Zanzibar.
Kwani Mwinyi si ndio kwao huko Mkuranga ..? afu wewe Joka la kibisa bure kabisa...Na Husseni Mwinyi alikuwa mbunge wa Mkuranga.
..Katiba inawaruhusu Waznz kugombea ubunge wa MUUNGANO kwa majimbo ya Tanganyika, na Zanzibar.
..Sasa ili kutenda HAKI Zanzibar inatakiwa iondoe zuio la Watanganyika kugombea ubunge wa muungano kwa majimbo ya Zanzibar.
Hata Sifa za mtu kuwa DC ni hizo hizo zikibebwa na Sifa Kuu " awe raia wa Tanzania"Tafuta sifa kwenye makabrasha uone sifa za mtu kuwa mbunge.
Cha ajabu katiba wametengeneza wao kelele wanapiga wao watangayika kwa makelele hawana spare.Na katiba haijasema kama kuna Mtanzania kipande, hata mzanzibari ni Mtanzania pia.
Kwa Rais wa JMT inasemaje?..Na Husseni Mwinyi alikuwa mbunge wa Mkuranga.
..Katiba inawaruhusu Waznz kugombea ubunge wa MUUNGANO kwa majimbo ya Tanganyika, na Zanzibar.
..Sasa ili kutenda HAKI Zanzibar inatakiwa iondoe zuio la Watanganyika kugombea ubunge wa muungano kwa majimbo ya Zanzibar.
Jo kazi uko nayo comrade hao jamaa wameeacha bongo zao azitumie Lissu na Mbowe.Hata Sifa za mtu kuwa DC ni hizo hizo zikibebwa na Sifa Kuu " awe raia wa Tanzania"
Shida ndugu unajitoa hufaham ,hoja zote ambazo chadema wanajenga ni juu ya katiba ndo maana haya yote yanatokea , hivi mfano Tanganyika ikarudi zanzibar ikawa na mamlaka kamili ujinga huu hautakuepo kama ni serikali tatu wagombea wenza toka zanzibar wanaweza kutana kwenye serikali ndogo ya tatu ya Muungano basiKiukweli akili za Chadema wanazijuaga wao wenyewe yaani ni Ndumilakuwili haswa
Wanasema Rais ni mzanzibar na kusahau wao walimkata Mtanganyika pale Kinondoni kwenye Uchaguzi mdogo na kulazimisha Naibu katibu mkuu wao Zanzibar Salum Mwalimu aje kugombea
Wakati mwingine Chadema ni wa kupuuzwa ila kuna baadhi ya maeneo wanastahili Sifa
Ahsanteni 🐼🔥
Cha ajabu katiba wametengeneza wao kelele wanapiga wao watangayika kwa makelele hawna spare.
Inawezekana walihusishwa na ndio maana kukawa na kipengele cha makamu wa Rais awe..kwani hakuna Waznz waliohusika kutengeneza Katiba ya muungano?
..Tunachosema ni Katiba imepitwa na wakati, hivyo ufanyiwe marekebisho makubwa au iandikwe upya.
..Hii Katiba iliandikwa kwa madhumuni kwamba siku moja Zanzibar itakuja kumezwa. Tanganyika ilifutwa ili baadae upatikane uhalali wa kuifuta Zanzibar.
..Sasa hivi watu wanaona jambo hilo sio sawa. Na walijieleza vizuri sana Tume ya Warioba ilipowafikia. Ndio maana Tume imependekeza TANGANYIKA irejeshwe.
Unaelewa maana ya Tanzania Bara?..kwani hakuna Waznz waliohusika kutengeneza Katiba ya muungano?
..Tunachosema ni Katiba imepitwa na wakati, hivyo ufanyiwe marekebisho makubwa au iandikwe upya.
..Hii Katiba iliandikwa kwa madhumuni kwamba siku moja Zanzibar itakuja kumezwa. Tanganyika ilifutwa ili baadae upatikane uhalali wa kuifuta Zanzibar.
..Sasa hivi watu wanaona jambo hilo sio sawa. Na walijieleza vizuri sana Tume ya Warioba ilipowafikia. Ndio maana Tume imependekeza TANGANYIKA irejeshwe.
Mbowe anasema raisi ametoka nchi jiraniKwa nini unataka kuposha mambo. Kwani CHADEMA waliwahi kusema mzanzibar hapaswi kuwa rais?