DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mbona Bagamoyo wanaidai na Iliyanganzwa kwenye Vyombo vya Habari na Baadhi ya Sehenu tayari wameshaichukua..hayo maeneo Sultani aliyauza kwa Wajerumani miaka ya 1800 huko.
..Wazanzibari kama wana ubavu waidai Mombasa maana ilikuwa ya kwao mpaka mwaka 1963.