DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mbona Bagamoyo wanaidai na Iliyanganzwa kwenye Vyombo vya Habari na Baadhi ya Sehenu tayari wameshaichukua..hayo maeneo Sultani aliyauza kwa Wajerumani miaka ya 1800 huko.
..Wazanzibari kama wana ubavu waidai Mombasa maana ilikuwa ya kwao mpaka mwaka 1963.
Hussein Mwinyi aligombea Kwao Mkuranga na Alikuwa Mbunge wa MkurangaHussein Mwinyi naye aligombea Tanganyika ubunge je ni sawa kimtizamo.Tushughlike na katiba ndiyo suluhisho
Kwahiyo katiba hii iliyopo haina shida.Kumbuka vyama vyote hata vingeingia madarakani bado vingetawala kwa mjibu wa Katiba ya JMT! Sasa kama Katiba inasema kila mtanzania ana haki ya kugombea jimbo lolote Tanzania,Mkuu kosa liko wapi?
Tena Lisu kama bosi wa Sheria Chadema aliidhinisha HiloHIyo inaitwa ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu!
Wakati anagawa hizo rasilimali zenu Wabunge wenu wanakuwa wapi?, wamewekwa kwenye mfuko wa ccm na wenye ccmWakati anagawa hizo rasilimali zenu Wabunge wenu wanakuwa wapi?
Wanajadili mambo ya Matiti ya vitoto 🐼
Lisu anasema sinhaki mzanzibar kugombea Tanganyika wakati Mtanganyika hawezi gombea Zanzibar Sasa huyo Mwalimu ni Mzanzibar mia Kwa mia Kwa Nini Chadema walimpa kuwa mgombea ubunge Kinondoni Tanganyika na sio kumpa ugombea ubunge kisiwandui au jimbo lolote Zanzibar ? Kwa Nini walimpa Tanganyika? wakati ni mzanzibar asilimia 100? Wakamnyima huyo nafadi mtanganyika wakampa mzanzibarSasa hapo shida ni nini
Kiukweli akili za Chadema wanazijuaga wao wenyewe yaani ni Ndumilakuwili haswa
Wanasema Rais ni mzanzibar na kusahau wao walimkata Mtanganyika pale Kinondoni kwenye Uchaguzi mdogo na kulazimisha Naibu katibu mkuu wao Zanzibar Salum Mwalimu aje kugombea
Wakati mwingine Chadema ni wa kupuuzwa ila kuna baadhi ya maeneo wanastahili Sifa
Ahsanteni 🐼🔥
Umeongea point tupu 😂😂Lisu anasema sinhaki mzanzibar kugombea Tanganyika wakati Mtanganyika hawezi gombea Zanzibar Sasa huyo Mwalimu ni Mzanzibar mia Kwa mia Kwa Nini Chadema walimpa kuwa mgombea ubunge Kinondoni Tanganyika na sio kumpa ugombea ubunge kisiwandui au jimbo lolote Zanzibar ? Kwa Nini walimpa Tanganyika? wakati ni mzanzibar asilimia 100? Wakamnyima huyo nafadi mtanganyika wakampa mzanzibar
Lissu nyuma ya pazia ni mfuasi Robert Nesta Marley!Tena Lisu kama bosi wa Sheria Chadema aliidhinisha Hilo
Halafu akiwa jukwaani utasikia anapinga CCM ikifabya mambo kama hayo kweli nyani haoni
.........
Mbona Bagamoyo wanaidai na Iliyanganzwa kwenye Vyombo vya Habari na Baadhi ya Sehenu tayari wameshaichukua
..anapoteua Mzanzibari ktk nafasi ambayo hawastahili unataka watu waseme?
..kwa mfano, Mzanzibar hapaswi kuteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya huku Tanganyika, lakini ameteua. Je, unataka Watanganyika wakae kimya?
Kasema nani kuwa hapaswi kumteua?
..Katiba.
Kwa nini unataka kuposha mambo. Kwani CHADEMA waliwahi kusema mzanzibar hapaswi kuwa rais?Kiukweli akili za Chadema wanazijuaga wao wenyewe yaani ni Ndumilakuwili haswa
Wanasema Rais ni mzanzibar na kusahau wao walimkata Mtanganyika pale Kinondoni kwenye Uchaguzi mdogo na kulazimisha Naibu katibu mkuu wao Zanzibar Salum Mwalimu aje kugombea
Wakati mwingine Chadema ni wa kupuuzwa ila kuna baadhi ya maeneo wanastahili Sifa
Ahsanteni 🐼🔥
wapi ilisema?
Mbunge Mohamed Issa: Mbowe amesema Tanganyika imekopa Rais kutoka ZanzibarKwa nini unataka kuposha mambo. Kwani CHADEMA waliwahi kusema mzanzibar hapaswi kuwa rais?
Ubunge na nafasi ya kuteuliwa ni mambo mawili tofauti.Huyo Shaka na Salum Mwalimu Wana tofauti gani?
Huyo mbunge ni mpotoshaji. CHADEMA wanahoji mambo ya msingi kuhusu Samia na siyo uzanzibar wake.Mbunge Mohamed Issa: Mbowe amesema Tanganyika imekopa Rais kutoka Zanzibar