Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
hahahahahaahah, sawa bwanaWaonjeshe na wenzio
Sijakuelewa my wiHuyo ulimuita vipi
Ahsante sana. Ndio mana mkawepo duuh. [emoji2] [emoji2]
Wali wa naz na samakiWali wa naz na mandondo
Umejua kunitoa mate jamani....Haya mama, jisevie
View attachment 522809
Huyo ulomuita ndo naniliu wetu auSijakuelewa my wi
Hapana. Huyo ni shoga angu my wi na yeye ni mpenzi wa hiyo kitu.Huyo ulomuita ndo naniliu wetu au
Dah mambo yangu haya yahee.