wise samura
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 515
- 297
We kweli swissmechakula ambacho sipendi.
WALI KUKU
NYAMA CHOMA
MAYAI YA KUKU.
swissme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kweli swissmechakula ambacho sipendi.
WALI KUKU
NYAMA CHOMA
MAYAI YA KUKU.
swissme
makandeKusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.
Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.
Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
Wala sio wa kishua wala nini...nachukia ugali maharagwe wakati napenda sana ugali matembele na dagaa! mbaazi kama kawa kunde na uduvi.Wakishua on fleck
Ndio maajabu ya watanzania halafu wengi wao ndio msosi wao mkuu kila dayAfunaona watu wanaongea sana wakati ubavu wakukwepa baadhi ya misosi mnayoidis ni midogo. ...mf ugali unaukwepaje bora kande unaeza mwaka ukapita ujala. ..tuache ushabiki usjonatija unaanzaje kuponda chakula ambacho ndio kila siku unakila niujinga
Wali au Ugali mboga iwe ni Samaki au nyama.Hupendi vitu vingi sana, unapenda vyakula gani?
kwanini mkuu hiyo misosi mimi haipandi kuanzia utotoni.We kweli swissme
Hahaaahaaaaaaa we jamaa umenichekesha sana...dah!Mimi sipendi ujinga.
Waaooh that is my favorite meal, machalari in meat on the bone.
Aise pole mkuu. Shemeji yako alinifundisha kula dona la mtindi. Nimelizoea na ndizi anapika anaweka maharage kwa mitindo tofautitifauti. Wachagga wanajua mapishi acha kabisa.Makande.
Mboga za majani jamii ya kunde zote.
Ndizi za kupika maliza ufundi wako wote.
Ugali/wali maharage.
Ugali maziwa/mtindi.
mlenda.
Hivyo vyakula hapo juu HATA KAMA SIJALA MWAKA MZIMA SITOKULA.
Ndizi za kijani zinapikwa na nyama.Machalari ni chakula gani mkuu
Yaani hapa nitalala na njaa kwa kweli sipendi wali tena upikwe na nazi mweeeehhh hapanaWali nazi