Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeSipendi ndizi wala chapati za kusukuma
Yaani wewe na mimi sawasawa Mimi sipendi ndizi kabasa zilizo pikwaKusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.
Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.
Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
Mimi sipendi MAKANDE hata yawekwe nini!!! Nimeshajaribu kuletewa kutoka wapishi mbalimbali lakini YAMENISHINDA! Sipendi makande kabisaaaaaaaakuna makande yanapikwa kama pilau achana na hayo maharage yaani ukipikiwa na wataalam kama sisi utahamia.
ujue hakuna chakula kibaya sema ni mapishi na ulle mpangilio wa kula .chakula chochote ukila kila siku unakinai .chakula kilekile mapishi yale yale ndo tatizo la waafrica
ahahaaaViazi mbatata/mviringo zaid ya chips huwa sitaki kuvisikia....tembele weka mbali na mm mana silipendiiii
tuusan siyo kweli kuwa ni lazima uwe unakula ugali kila siku. Mimi pamoja na kutopenda makande chakula kinachofuata ambacho sikipendi ni UGALI! Ninaweza kukaa mwaka mzima sijala ugali hasa sembe au dona. Ugali ambao at least naweza kula walau mara 1 au 2 kwa mwezi ni ugali wa muhogo.Afunaona watu wanaongea sana wakati ubavu wakukwepa baadhi ya misosi mnayoidis ni midogo. ...mf ugali unaukwepaje bora kande unaeza mwaka ukapita ujala. ..tuache ushabiki usjonatija unaanzaje kuponda chakula ambacho ndio kila siku unakila niujinga
Wewe ni KE au ME?Kusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.
Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.
Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
Ndizi za kijani zinapikwa na nyama.
dagaa wepi...wa ziwani au baharini?Dagaa