Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Ugali bilinganya
Siipendi Bilinganya mimi wengine wanachanganya na ntole na bamia sili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali bilinganya
mi kama ww, ndiz za kupika sitak ata kukaribishwaKusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.
Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.
Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
Kumbe tuko wengi. ..Mimi nishasemaga Nina allergy na makande..dah chakula gani hichoMakandee hata uweke nini hunishawishi hata kidogo
Haaaaaa umenichekesha mimi walipika nikawambia sili hizi ndizi wakajua nazingua usiku wananikaribisha wakashangaa nimechukua sufuria naenda kipika ugali looooh walishangaa toka siku hiyo huwa naandaliwa chakula tofautiDah mkuu wewe ndugu yangu nini????
Niliishamwambiaga mama hata akatiemo hela, sitazipenda.
Siipendi Bilinganya mimi wengine wanachanganya na ntole na bamia sili
hivi spinach inapatikana wapi maana naitafuta sanaSipend mboga ya spinach na majani ya kunde
Mbona ipo masokoni shosthivi spinach inapatikana wapi maana naitafuta sana
unaijua spinach lakini?Mbona ipo masokoni shost
sory mimi natafuta hiiMbona ipo masokoni shost
unaijua spinach lakini?