financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mimi ni mshamba sana sijui? Pilau lenye hiriki na magome ya miti yale nashindwa kula nikitafuna vile vipunje vya hiriki ndiyo kabisa nachanganyikiwa😀 tambi nazo dah. Ila wali maharage na mchicha hivi aah naweza kesha nakula😋😋[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]