Mtoa mada umeudhihirishia uma kuwa wew ni wa mkoani..
We komaa na kande zako tu mkuu...mi nikiziangalia tu meno yanapata ukakasi
Wew hata urojo utauweza kwel..au mchuz wa oweza...au biriyan + mandi...we wa mkoan ndugu yangu hzo mambo waachie wenyew...ushawai kula mandi ya kuku wa kienyeji halaf kuku nusu..upate na ndizi mbivu..aiseeeeeee