Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kama itakuja Kutokea, sio Kwa sababu Kuna Upinzani wenye wanasiasa Bora, La hashaaa!!.
Itakua ni sababu Watanzania kutaka tu kuona Upinzani wataongozaje na kwa mantiki hiyo, DOLA, hautokaa kuliruhusu hili.
(Upinzani wa Kusubiri vijitukio vidogodogo ndo usikike, Sahizi wanamjadili KIJANA MAJALIWA 😂).
Nchi haiwezi kuongozwa kama sehem ya majaribio
Nchi haiwezi Ongozwa na watu wapokeao maelekezo ya Mabeberu.
Itakua ni sababu Watanzania kutaka tu kuona Upinzani wataongozaje na kwa mantiki hiyo, DOLA, hautokaa kuliruhusu hili.
(Upinzani wa Kusubiri vijitukio vidogodogo ndo usikike, Sahizi wanamjadili KIJANA MAJALIWA 😂).
Nchi haiwezi kuongozwa kama sehem ya majaribio
Nchi haiwezi Ongozwa na watu wapokeao maelekezo ya Mabeberu.