CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Malizia...mboweChadema
Tanzania Hakuna Vyama vya upinzani Bali machoko wenye njaa na uroho wa madaraka tuu.Kama itakuja Kutokea, sio Kwa sababu Kuna Upinzani wenye wanasiasa Bora, La hashaaa!!.
Itakua ni sababu Watanzania kutaka tu kuona Upinzani wataongozaje , na Kwa mantiki hiyo, DOLA ,hautokaa kuliruhusu hili .
( Upinzani wa Kusubiri vijitukio vidogodogo ndo usikike, Sahizi wanamjadili KIJANA MAJALIWA π).
Nchi haiwezi kuongozwa kama sehem ya majaribio
Nchi haiwezi Ongozwa na watu wapokeao maelekezo ya Mabeberu.
Mpaka sasa ni vigumu kuona chama gani mbadala wa CCM na ndivyo ilivyokuwa wakati wa mapambano ya Uhuru ambapo ilionekana kabisaa kuwa Watanzania bado sana ila kupitia viongozi wachache waliamua kujitoa mhanga kuonesha uwezo wa kuwaunganisha Watanzania ili wajiongoze.Kama itakuja Kutokea, sio Kwa sababu Kuna Upinzani wenye wanasiasa Bora, La hashaaa!!.
Itakua ni sababu Watanzania kutaka tu kuona Upinzani wataongozaje , na Kwa mantiki hiyo, DOLA ,hautokaa kuliruhusu hili .
( Upinzani wa Kusubiri vijitukio vidogodogo ndo usikike, Sahizi wanamjadili KIJANA MAJALIWA π).
Nchi haiwezi kuongozwa kama sehem ya majaribio
Nchi haiwezi Ongozwa na watu wapokeao maelekezo ya Mabeberu.
Mjadala ungekuwa kwanini hakuna chama kilichoweza kuiendesha vyema nchi hii.Kama itakuja Kutokea, sio Kwa sababu Kuna Upinzani wenye wanasiasa Bora, La hashaaa!!.
Itakua ni sababu Watanzania kutaka tu kuona Upinzani wataongozaje , na Kwa mantiki hiyo, DOLA ,hautokaa kuliruhusu hili .
( Upinzani wa Kusubiri vijitukio vidogodogo ndo usikike, Sahizi wanamjadili KIJANA MAJALIWA π).
Nchi haiwezi kuongozwa kama sehem ya majaribio
Nchi haiwezi Ongozwa na watu wapokeao maelekezo ya Mabeberu.
Mbona ccm inatawala wakati haina falsafa yoyote inayojulikana?!!!Kwa Siasa na Wana Siasa gan?.
Chama hata Falsafa zake hazieleweki
Only ACT raisi awe zitokabwe kudadek wataisoma nambaKama itakuja Kutokea, sio Kwa sababu Kuna Upinzani wenye wanasiasa Bora, La hashaaa!!.
Itakua ni sababu Watanzania kutaka tu kuona Upinzani wataongozaje , na Kwa mantiki hiyo, DOLA ,hautokaa kuliruhusu hili .
( Upinzani wa Kusubiri vijitukio vidogodogo ndo usikike, Sahizi wanamjadili KIJANA MAJALIWA [emoji23]).
Nchi haiwezi kuongozwa kama sehem ya majaribio
Nchi haiwezi Ongozwa na watu wapokeao maelekezo ya Mabeberu.