Ni Chama kipi kinakidhi vigezo vya kuiletea Nchi yetu maendeleo ya haraka?

Ni Chama kipi kinakidhi vigezo vya kuiletea Nchi yetu maendeleo ya haraka?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kwa kuwa chama kina dhamana ya kuiweka serikali madarakani na kuisimamia, kubuni na kuitekeleza ilani ili kutatua kero za wananchi na kuwaletea maendeleo.

Kwa maoni yako unadhani ni chama gani kwa hivi tulivyonavyo sasa kwa muundo wake kikatiba kwa dira yake na kwa utamaduni wake kinakidhi vigezo vyote vya kuisimamia vizuri Serikali hatimaye kuleta maendeleo ya haraka?
 
Ni CCM; kwa miaka 60 ya uhuru kimeweza kuigeuza Tanganyika kuwa zaidi ya Singapore kama sio Dubai tukikiongezea miaka mingine 10 Tanzania itakuwa zaidi ya China kama sio Marekani. Una macho hata huoni?
 
Back
Top Bottom