Ni chuma ulete ama?

virginity

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
898
Reaction score
970
Habari!

Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.

Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]

Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.

Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
 
Pole mkuu, najua Kuna wadau wa chuma ulete watapinga ili tusijue janja zao

Huku Chugga siku hizi mpaka wanawake NAO wanahangaika na chuma ulete

Maisha magumu sana
Tafuta wadau wa huduma za pesa mtandao wakupe ABC
 
Uko morogoro au maeneo gan uswahilini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…