Pole mkuu, najua Kuna wadau wa chuma ulete watapinga ili tusijue janja zaoHabari!
Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.
Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]
Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.
Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
Mix kuvunja vunja kiwembe nakuweka Kwa droo ya Hela na vipande vya mkaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chuma uletee ipo mkuuMtapata akili tu,Kuna watu tumesoma mpaka masters ila biashara zetu kwenye droo Kuna ndulele, chumvi ya mawe, mfupa wa kitimoto
Endekezeni usomi tu......
Uko morogoro au maeneo gan uswahilini?Habari!
Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.
Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]
Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.
Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]