Ni chuma ulete ama?

Ni chuma ulete ama?

Wahasibu watakwambia huja balance hesabu vizuri😂😂😂😂😂...hiyo ni ngumi ya shingo..na ndio namna mitaji ya wengi inakata bila kujua sababu hasa ni Nini ikiwa anatunza hesabu vizuri...
 
Wahasibu watakwambia huja balance hesabu vizuri😂😂😂😂😂...hiyo ni ngumi ya shingo..na ndio namna mitaji ya wengi inakata bila kujua sababu hasa ni Nini ikiwa anatunza hesabu vizuri...
watu wa humu wanaopinga uchawi mwenyekiti wao ni Bufa mwenyewe hayuko tanzania na kaapa hawezi kururdi. Yeye mwenyewe kaukimbia huohuo kwao Mbeya
cc. Bufa
 
Kwanza hapo uelewe kuna mtu zaidi ya mmoja.
Kuna wa buku 2000,5000 na kumi
Hivyo hapo shamba la bibi kila mtu anajichukulia tuu.
Kemea hilo pepoo,lishindwee
Ila kumuka moto hauzimwi kwa maji isipokuwa kwa maji yenye mchanganyo na mchanganyiko
 
Hivi ndugu uko serious hela ipoteee tuuu bila sababu?

KANUNI INASEMA
hakiondoki kitu bila kitu kupata force yoyote ya kuivuta au kuisukuma.(Newton)

Nakuhakikishia hakuna Chuma ulete ila kuna mistake ndogo sana umeifanya na imekupelekea hiyo.
Labda umezindisha mteja hela au umesoma msg vibaya hasa unapokuwa mgeni wa biashara.

Mpe mtu mwingine akukagulie miamala yako unayosema kwan kukagua mwenyewe ni njia moja wapo ya kurudia kosa lile lile ulokoea


Haya mambo ya chuma ulete ni kwa watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria.(Mara nyingi utayasikia kwa watu wanao anza bishara wepesi wa maswala ya kishirikina ,masikin , n.k)

Na wadokozi wa hela wa nyumban(karibu) hutumia upenyo huo na kusingizia chuma ulete.


Tafadhali sitaki kitisho cha OHOOO HUJAKUTANA NAYO
MAANA SITAKAA PIA KUTANA NAYO


Ushauri wangu ipo sababu chunguza kwa umakini alafu achana na mawazo ya chuma ulete.
Boss hesabu zisibalance 150k? Huwa inatokea labda 1000 au 5000 lkn haijawahi kua 50k na zaidi yake.
Muamala mkubwa wa kutoa nimefanya mmoja tu kuna mtu alitoa laki mingine ni midogomidogo sana na ninahakika sijamzidishia mtu hela. NINAUHAKIKA na miamala yote niliyoifanya jmos,jpil na jana j3. Na msg sijafuta zipo kuanzia jmos mpaka jana j3.
 
Kwanza hapo uelewe kuna mtu zaidi ya mmoja.
Kuna wa buku 2000,5000 na kumi
Hivyo hapo shamba la bibi kila mtu anajichukulia tuu.
Kemea hilo pepoo,lishindwee
Ila kumuka moto hauzimwi kwa maji isipokuwa kwa maji yenye mchanganyo na mchanganyiko
Basi kwa mara ya kwanza mtu kaamua kujichotea tena bila huruma
 
Boss hesabu zisibalance 150k? Huwa inatokea labda 1000 au 5000 lkn haijawahi kua 50k na zaidi yake.
Muamala mkubwa wa kutoa nimefanya mmoja tu kuna mtu alitoa laki mingine ni midogomidogo sana na ninahakika sijamzidishia mtu hela. NINAUHAKIKA na miamala yote niliyoifanya jmos,jpil na jana j3. Na msg sijafuta zipo kuanzia jmos mpaka jana j3.

Ondoa hiyo dhana ya chuma ulete kwanza alafu fatilia bila Pupa hata kama sio leo iko siku utajua hiyo hela imeenda wapi.


Chuma ulete zingekuwepo watu wengi sana wangefeli.

Zaidi ya hapo utashauriwa mamno mengi, Mara kwa Sa ngoma mara manabii ila kumbe kuna mistake haujaifanyia kazi.
 
Ondoa hiyo dhana ya chuma ulete kwanza alafu fatilia bila Pupa hata kama sio leo iko siku utajua hiyo hela imeenda wapi.


Chuma ulete zingekuwepo watu wengi sana wangefeli.

Zaidi ya hapo utashauriwa mamno mengi, Mara kwa Sa ngoma mara manabii ila kumbe kuna mistake haujaifanyia kazi.
Kwa sangoma siendi, siendii nakuhakikishia. sema ngoja wanijuze tu mbinu 2,3 sisi ni Africans hatuwezi kukataa asili yetu tukubali tukatae, na Mungu aliumba mitu itusaidie. Ila kwa mganga siendi ng'o
 
Habari!

Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.

Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]

Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.

Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
Kagua simu yako upande wa kusevu majina unaweza Kuta Kuna jina limeseviwa TIGOPESA. anakuja hapo anakutumia sms ya kutunga unampa pesa
 
Naomba picha ya ndulele
Screenshot_20230822-101948.png
 
Tafuta ndimu ambayo Iko kama chumvi weka na kipande Cha mkaa weka kweye droo Yako hakuna mbwa atakusa hapo, Au chukua ndimu mbichi ichome na sindano ambayo haina tobo lolote la kuweka Uzi hakuna mjusi yeyote atakusa hapo, au ukipata ndulele na ndimu zitoboe pitisha uzi funga kama bangili weka kweye droo dadeki hata DP Wachawi watasonya mbwa hao
 
Back
Top Bottom