antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
😁😁😁Mtapata akili tu,Kuna watu tumesoma mpaka masters ila biashara zetu kwenye droo Kuna ndulele, chumvi ya mawe, mfupa wa kitimoto
Endekezeni usomi tu......
Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Mtapata akili tu,Kuna watu tumesoma mpaka masters ila biashara zetu kwenye droo Kuna ndulele, chumvi ya mawe, mfupa wa kitimoto
Endekezeni usomi tu......
Ukute kuna mtu anacheza bao na kutafuna kashata akishushia na ghahawa siku nzima, kashapelekewa hizo 150kHabari!
Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.
Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]
Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.
Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
watu wa humu wanaopinga uchawi mwenyekiti wao ni Bufa mwenyewe hayuko tanzania na kaapa hawezi kururdi. Yeye mwenyewe kaukimbia huohuo kwao Mbeya
cc. Bufa
Usifanye masihara.....Kuna mtu ndani ya bahasha ilipotea m na kukuta kinyesi cha popo....ni hesabu ya mauzo ya sheli....uzuri ni kwamba bosi wake naye ni ""mturutumbi""....akatia Madawa ndani ya ile bahasha...Kisha wakaiweka kwenye drooo....siku iliyofuata pesa ikarudi na Mavi ya popo hakuna.....hiii ni dunia.
.
Nyie watu wa uchawi wajinga sana mkiambiwa mthibitishe mnakimbia... endeleeni kuwa wajinga hivyohivyoUsifanye masihara.....Kuna mtu ndani ya bahasha ilipotea m na kukuta kinyesi cha popo....ni hesabu ya mauzo ya sheli....uzuri ni kwamba bosi wake naye ni ""mturutumbi""....akatia Madawa ndani ya ile bahasha...Kisha wakaiweka kwenye drooo....siku iliyofuata pesa ikarudi na Mavi ya popo hakuna.....hiii ni dunia.
.
Mimi mdogo wangu aliondoka shule mzima na kurudi bubuNa wewe unaamini hii story ya kitoto kabisa? Story zote za uchawi huwa ni hearsay "kuna mtu blah blah blah" ukiulizwa uliona huna jibu. Mnaaamini tu kama nyumbu. Itakua mlimuamini hata zamaradi aliyesema kaenda mbinguni nyie.
CC: Sir Midabwada
Mimi mdogo wangu aliondoka shule mzima na kurudi bubu
Sasa chuma ulete ipo wapi? Watu wamekukatalia huo ujinga toka mwanzo wa uzi, na wewe mwenyewe umethibitisha kwamba yalikuwa mawazo ya kijinga kwa kuipata hela yako, alaf hapo hapo unakomaa chuma ulete ipo.#UPDATE
HELLO!
Asanteni kunitia moyo, asubuhi hii nimepokea simu kutoka wakala mkuu akinijulisha kwamba jumamosi asubuhi nilimpelekea cash ili aniwekee float Kwenye voda na Airtel hivyo aliniwekea ya airtel pekee na ya voda ilifeli kiasi kilichofeli kilikua 150k. Sikukumbuka kukirejea hivyo kanipigia na kunikumbusha leo asubuhi. NIMEIPATA.
Lakini kuhusu chuma ulete ni ukweli ipo, msipuuze.
Na nitaufuata ushauri wenu pia kuhusu chumvi na vitu vingine.
MUNGU AWABARIKI SANA.
Mkuu pole sanaHabari!
Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.
Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]
Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.
Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
Unachokiamini kichukue vingine viache mkuu sio kwajili yako, ila asanteSasa chuma ulete ipo wapi? Watu wamekukatalia huo ujinga toka mwanzo wa uzi, na wewe mwenyewe umethibitisha kwamba yalikuwa mawazo ya kijinga kwa kuipata hela yako, alaf hapo hapo unakomaa chuma ulete ipo.
Kapona na ndumba mkuu tumeroga sana. alikutana napepo likampiga na usinga kichwani. uchawi upo ila mpaka ukutane nao ndo utajua na kuaminiHiyo ni medical condition. Watu wanapoteza vision, hearing hata kupata ububu na changamoto zingine. Hilo hata waganga matapeli watakushangaa kusema huo ni uchawi.
Kapona na ndumba mkuu tumeroga sana. alikutana napepo likampiga na usinga kichwani. uchawi upo ila mpaka ukutane nao ndo utajua na kuamini
#UPDATE
HELLO!
Asanteni kunitia moyo, asubuhi hii nimepokea simu kutoka wakala mkuu akinijulisha kwamba jumamosi asubuhi nilimpelekea cash ili aniwekee float Kwenye voda na Airtel hivyo aliniwekea ya airtel pekee na ya voda ilifeli kiasi kilichofeli kilikua 150k. Sikukumbuka kukirejea hivyo kanipigia na kunikumbusha leo asubuhi. NIMEIPATA.
Lakini kuhusu chuma ulete ni ukweli ipo, msipuuze.
Na nitaufuata ushauri wenu pia kuhusu chumvi na vitu vingine.
MUNGU AWABARIKI SANA.
Kwani ukizidisha chenji unajua, hujui ndiyo maana unazidisha chenjiBoss hesabu zisibalance 150k? Huwa inatokea labda 1000 au 5000 lkn haijawahi kua 50k na zaidi yake.
Muamala mkubwa wa kutoa nimefanya mmoja tu kuna mtu alitoa laki mingine ni midogomidogo sana na ninahakika sijamzidishia mtu hela. NINAUHAKIKA na miamala yote niliyoifanya jmos,jpil na jana j3. Na msg sijafuta zipo kuanzia jmos mpaka jana j3.
Nilisisitiza mnoo kuna kasoro umeifanya na ndo mana hukuiyona hiyo hela japo ulikazia kuwa umehakikisha ila nikarudia tena Mambo ya chuma ulete zitabaki kwa watu wenye Uwezo mdogo wa kufikiri, wadokozi watumizi wabovu wa hela,n.k#UPDATE
HELLO!
Asanteni kunitia moyo, asubuhi hii nimepokea simu kutoka wakala mkuu akinijulisha kwamba jumamosi asubuhi nilimpelekea cash ili aniwekee float Kwenye voda na Airtel hivyo aliniwekea ya airtel pekee na ya voda ilifeli kiasi kilichofeli kilikua 150k. Sikukumbuka kukirejea hivyo kanipigia na kunikumbusha leo asubuhi. NIMEIPATA.
Lakini kuhusu chuma ulete ni ukweli ipo, msipuuze.
Na nitaufuata ushauri wenu pia kuhusu chumvi na vitu vingine.
MUNGU AWABARIKI SANA.
KikomesheoNishauri tafadhali, nitumie nini?
OoohKuna siku nimekaa nashangaa pesa zinapeperuka kutoka kwenye box na hakuna upepo 😅 mbona nilinyanyuka kuzidaka ingawa nilichelewa maana badae hesabu haikutimia
Saivi ni hapana