Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Mfupa rost au ambao hauna viungo?ila biashara zetu kwenye droo Kuna ndulele, chumvi ya mawe, mfupa wa kitimoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfupa rost au ambao hauna viungo?ila biashara zetu kwenye droo Kuna ndulele, chumvi ya mawe, mfupa wa kitimoto
Naomba picha ya nduleleMtapata akili tu,Kuna watu tumesoma mpaka masters ila biashara zetu kwenye droo Kuna ndulele, chumvi ya mawe, mfupa wa kitimoto
Endekezeni usomi tu......
Chuma ulete ni uchawi common maeneo ya dar, morogoro, pwani na kusini mana watu wake wavivu kufanya kazi..Nipo Mwanza, tena mjini kabisaa
Kuna pesa za majiniHabari!
Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.
Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]
Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.
Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
Nyanya chungu poli au NdulaNaomba picha ya ndulele
Ndugu mshana jumamosi naenda zanzibar naomba Nipe koneksheni na mganga mkali wa huko. Kuna kima kajipendekeza na kiukweli kabisaaaa DAWA YA MOTO NI MOTOKuna pesa za majini
Kuna pesa za maruhani
Kuna pesa za mapepo ... Zote hizi zipo pamoja na zingine lakini huwezi kuziona.. Wakija wanazitoa na kuziweka hapo hapo wanasepa na faida unaachiwa majanga
Ndugu yangu huko siko tena na nilishafuta mawasiliano yoteNdugu mshana jumamosi naenda zanzibar naomba Nipe koneksheni na mganga mkali wa huko. Kuna kima kajipendekeza na kiukweli kabisaaaa DAWA YA MOTO NI MOTO
Duniani kuna mambo mawili mawili....Nuru na Giza....n.k.....fanya maamuzi ili tukusaidie.....find your route.....Habari!
Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.
Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]
Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.
Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
Mkuu suluhisho la chuma ulete ni nini!!Kuna siku nimekaa nashangaa pesa zinapeperuka kutoka kwenye box na hakuna upepo [emoji28] mbona nilinyanyuka kuzidaka ingawa nilichelewa maana badae hesabu haikutimia
Saivi ni hapana
Usifanye masihara.....Kuna mtu ndani ya bahasha ilipotea m na kukuta kinyesi cha popo....ni hesabu ya mauzo ya sheli....uzuri ni kwamba bosi wake naye ni ""mturutumbi""....akatia Madawa ndani ya ile bahasha...Kisha wakaiweka kwenye drooo....siku iliyofuata pesa ikarudi na Mavi ya popo hakuna.....hiii ni dunia.Mbona hela imeenda nyingi sana? Si huwa wanapiga 10 au 20[emoji2300] sasa 150k jamanii
Habari!
Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.
Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]
Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.
Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
Mkulungwa Yuko wapi. Testimonial hzi Bufa awepoUsifanye masihara.....Kuna mtu ndani ya bahasha ilipotea m na kukuta kinyesi cha popo....ni hesabu ya mauzo ya sheli....uzuri ni kwamba bosi wake naye ni ""mturutumbi""....akatia Madawa ndani ya ile bahasha...Kisha wakaiweka kwenye drooo....siku iliyofuata pesa ikarudi na Mavi ya popo hakuna.....hiii ni dunia.
.
Zanzibar ipi mkuu mana kuna mmakonde kjichanganya nataka nikafanye mipango ndugu zake mwaka huu wapate urithiHii dunia ina mambo yake, ukienda maduka ya Mlandege (Zanzibar) kununua vitu na vifaa miongoni mwa wateja ni majini! Unakuta mhindi anakuangalia kwa macho makali!Wenyeji watakuwa mashahidi kwenye hili!
Kuna siku nimepanda gari ya abiria (Zanzibar), kuna abiria akamuambia konda nashuka kituo fulani zaidi ya mara tatu, konda na abiria tukasema umesikika!
Kufika kituo konda anauliza haya njoo ushuke, kimya ! Mzee mmoja akasema ondosha gari ameshashuka mhusika na bado wawili! Tembea uone! Upo bar halafu pembeni yako ni jini!
Kote iwe mjini au vijijini (shamba) unguja au pemba! Sema kama umeamaanisha na hawana gharama.Zanzibar ipi mkuu mana kuna mmakonde kjichanganya nataka nikafanye mipango ndugu zake mwaka huu wapate urithi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msomi katika hapa na paleeeHivi ndugu uko serious hela ipoteee tuuu bila sababu?
KANUNI INASEMA
hakiondoki kitu bila kitu kupata force yoyote ya kuivuta au kuisukuma.(Newton)
Nakuhakikishia hakuna Chuma ulete ila kuna mistake ndogo sana umeifanya na imekupelekea hiyo.
Labda umezindisha mteja hela au umesoma msg vibaya hasa unapokuwa mgeni wa biashara.
Mpe mtu mwingine akukagulie miamala yako unayosema kwan kukagua mwenyewe ni njia moja wapo ya kurudia kosa lile lile ulokoea
Haya mambo ya chuma ulete ni kwa watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria.(Mara nyingi utayasikia kwa watu wanao anza bishara wepesi wa maswala ya kishirikina ,masikin , n.k)
Na wadokozi wa hela wa nyumban(karibu) hutumia upenyo huo na kusingizia chuma ulete.
Tafadhali sitaki kitisho cha OHOOO HUJAKUTANA NAYO
MAANA SITAKAA PIA KUTANA NAYO
Ushauri wangu ipo sababu chunguza kwa umakini alafu achana na mawazo ya chuma ulete.
📌📌📌📌📌📌📌Hivi ndugu uko serious hela ipoteee tuuu bila sababu?
KANUNI INASEMA
hakiondoki kitu bila kitu kupata force yoyote ya kuivuta au kuisukuma.(Newton)
Nakuhakikishia hakuna Chuma ulete ila kuna mistake ndogo sana umeifanya na imekupelekea hiyo.
Labda umezindisha mteja hela au umesoma msg vibaya hasa unapokuwa mgeni wa biashara.
Mpe mtu mwingine akukagulie miamala yako unayosema kwan kukagua mwenyewe ni njia moja wapo ya kurudia kosa lile lile ulokoea
Haya mambo ya chuma ulete ni kwa watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria.(Mara nyingi utayasikia kwa watu wanao anza bishara wepesi wa maswala ya kishirikina ,masikin , n.k)
Na wadokozi wa hela wa nyumban(karibu) hutumia upenyo huo na kusingizia chuma ulete.
Tafadhali sitaki kitisho cha OHOOO HUJAKUTANA NAYO
MAANA SITAKAA PIA KUTANA NAYO
Ushauri wangu ipo sababu chunguza kwa umakini alafu achana na mawazo ya chuma ulete.