Ni chuma ulete ama?

Ni chuma ulete ama?

Habari!

Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.

Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]

Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.

Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
Ukute kuna mtu anacheza bao na kutafuna kashata akishushia na ghahawa siku nzima, kashapelekewa hizo 150k
 
Usifanye masihara.....Kuna mtu ndani ya bahasha ilipotea m na kukuta kinyesi cha popo....ni hesabu ya mauzo ya sheli....uzuri ni kwamba bosi wake naye ni ""mturutumbi""....akatia Madawa ndani ya ile bahasha...Kisha wakaiweka kwenye drooo....siku iliyofuata pesa ikarudi na Mavi ya popo hakuna.....hiii ni dunia.

.

Na wewe unaamini hii story ya kitoto kabisa? Story zote za uchawi huwa ni hearsay "kuna mtu blah blah blah" ukiulizwa uliona huna jibu. Mnaaamini tu kama nyumbu. Itakua mlimuamini hata zamaradi aliyesema kaenda mbinguni nyie.

CC: Sir Midabwada
 
Usifanye masihara.....Kuna mtu ndani ya bahasha ilipotea m na kukuta kinyesi cha popo....ni hesabu ya mauzo ya sheli....uzuri ni kwamba bosi wake naye ni ""mturutumbi""....akatia Madawa ndani ya ile bahasha...Kisha wakaiweka kwenye drooo....siku iliyofuata pesa ikarudi na Mavi ya popo hakuna.....hiii ni dunia.

.
Nyie watu wa uchawi wajinga sana mkiambiwa mthibitishe mnakimbia... endeleeni kuwa wajinga hivyohivyo
 
Na wewe unaamini hii story ya kitoto kabisa? Story zote za uchawi huwa ni hearsay "kuna mtu blah blah blah" ukiulizwa uliona huna jibu. Mnaaamini tu kama nyumbu. Itakua mlimuamini hata zamaradi aliyesema kaenda mbinguni nyie.

CC: Sir Midabwada
Mimi mdogo wangu aliondoka shule mzima na kurudi bubu
 
Pole mkuu...usiwe vuguvugu watakumaliza wazee wa mila nadesturi...MUNGU kabisa au tunguri kabisa tofaut na hapo ur done!
 
Mimi mdogo wangu aliondoka shule mzima na kurudi bubu

Hiyo ni medical condition. Watu wanapoteza vision, hearing hata kupata ububu na changamoto zingine. Hilo hata waganga matapeli watakushangaa kusema huo ni uchawi.
 
#UPDATE
HELLO!
Asanteni kunitia moyo, asubuhi hii nimepokea simu kutoka wakala mkuu akinijulisha kwamba jumamosi asubuhi nilimpelekea cash ili aniwekee float Kwenye voda na Airtel hivyo aliniwekea ya airtel pekee na ya voda ilifeli kiasi kilichofeli kilikua 150k. Sikukumbuka kukirejea hivyo kanipigia na kunikumbusha leo asubuhi. NIMEIPATA.

Lakini kuhusu chuma ulete ni ukweli ipo, msipuuze.
Na nitaufuata ushauri wenu pia kuhusu chumvi na vitu vingine.
MUNGU AWABARIKI SANA.
Sasa chuma ulete ipo wapi? Watu wamekukatalia huo ujinga toka mwanzo wa uzi, na wewe mwenyewe umethibitisha kwamba yalikuwa mawazo ya kijinga kwa kuipata hela yako, alaf hapo hapo unakomaa chuma ulete ipo.

Hakika kupambana na ujinga ni kazi ngumu sana!
 
Habari!

Wenzangu mawakala mpoo? Imagine unafunga hesabu alafu unakuta 150000 hakuna[emoji2300] na hakuna muamala ulizidisha kila kitu kilikua perfect kabisa lakini leo nafunga hesabu 150k hakuna.

Nimekagua msg zote zakutuma na kutoa zote zipo sawa lkn 150k haipo[emoji24]

Wenzangu mnawezaje jamani? From 800k tu 650k kweli? Mpaka sasa siamini.

Kwajinsi nilivyo makini. looooh yamenikuta nwenzenu. Cjui nafanya nini[emoji24][emoji24]
Mkuu pole sana
 
Sasa chuma ulete ipo wapi? Watu wamekukatalia huo ujinga toka mwanzo wa uzi, na wewe mwenyewe umethibitisha kwamba yalikuwa mawazo ya kijinga kwa kuipata hela yako, alaf hapo hapo unakomaa chuma ulete ipo.
Unachokiamini kichukue vingine viache mkuu sio kwajili yako, ila asante
 
Hiyo ni medical condition. Watu wanapoteza vision, hearing hata kupata ububu na changamoto zingine. Hilo hata waganga matapeli watakushangaa kusema huo ni uchawi.
Kapona na ndumba mkuu tumeroga sana. alikutana napepo likampiga na usinga kichwani. uchawi upo ila mpaka ukutane nao ndo utajua na kuamini
 
#UPDATE
HELLO!
Asanteni kunitia moyo, asubuhi hii nimepokea simu kutoka wakala mkuu akinijulisha kwamba jumamosi asubuhi nilimpelekea cash ili aniwekee float Kwenye voda na Airtel hivyo aliniwekea ya airtel pekee na ya voda ilifeli kiasi kilichofeli kilikua 150k. Sikukumbuka kukirejea hivyo kanipigia na kunikumbusha leo asubuhi. NIMEIPATA.

Lakini kuhusu chuma ulete ni ukweli ipo, msipuuze.
Na nitaufuata ushauri wenu pia kuhusu chumvi na vitu vingine.
MUNGU AWABARIKI SANA.

Wewe jamaa sio mtu makini

Mtaji mdg tu huo unasahau 150 kumpa wakala mkuu?

Pili chuma ulete inaweza kuwepo ila binafsi nna miaka 4 sasa kweye hii industry sijapoteza fedha kwanjia ya kutatanisha.

Hakikisha unafunga hesabu kila siku ili uweze kuobserve gap na kulifatlia mapema kuptia miamala

Possibility ya kupotez fedha n

1.kutuma kwa kuzdsha kias

.2.kukosea kuhesabu fedha ukamzdshia mteja

3.utapeli,kuchanganyiwa noti

Kuwa makin dogo,kamishen zenye ndio hiz mtu anatoa 100,000 wanakulipa 450 na bado hawajakata kodi
 
Boss hesabu zisibalance 150k? Huwa inatokea labda 1000 au 5000 lkn haijawahi kua 50k na zaidi yake.
Muamala mkubwa wa kutoa nimefanya mmoja tu kuna mtu alitoa laki mingine ni midogomidogo sana na ninahakika sijamzidishia mtu hela. NINAUHAKIKA na miamala yote niliyoifanya jmos,jpil na jana j3. Na msg sijafuta zipo kuanzia jmos mpaka jana j3.
Kwani ukizidisha chenji unajua, hujui ndiyo maana unazidisha chenji
 
#UPDATE
HELLO!
Asanteni kunitia moyo, asubuhi hii nimepokea simu kutoka wakala mkuu akinijulisha kwamba jumamosi asubuhi nilimpelekea cash ili aniwekee float Kwenye voda na Airtel hivyo aliniwekea ya airtel pekee na ya voda ilifeli kiasi kilichofeli kilikua 150k. Sikukumbuka kukirejea hivyo kanipigia na kunikumbusha leo asubuhi. NIMEIPATA.

Lakini kuhusu chuma ulete ni ukweli ipo, msipuuze.
Na nitaufuata ushauri wenu pia kuhusu chumvi na vitu vingine.
MUNGU AWABARIKI SANA.
Nilisisitiza mnoo kuna kasoro umeifanya na ndo mana hukuiyona hiyo hela japo ulikazia kuwa umehakikisha ila nikarudia tena Mambo ya chuma ulete zitabaki kwa watu wenye Uwezo mdogo wa kufikiri, wadokozi watumizi wabovu wa hela,n.k

Hakuna hela hata moja itakayopotea eti kiuchawi narudia tena hakuna hizi imani ukizidisha hutapiga hatua zaidi kuwafaidisha manabii na waganga.

Kama kweli ulihakiki nina uhakika ungeigundua huyo wakala hajakujazia hela na ndo mana nilikusihi mpe mtu mwingine akukagulie na jipe muda utajua shida ni nini.
 
wacha mara moja kuchanganya pesa za wanao weka, na pesa cash ulionayo kajili ya wanaotoa pesa
 
Back
Top Bottom