[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] mimi ni ke mkuu
Hii Imenichekesha!!Kuna hii mada ya huyu reyzzap
Ilikuwa kuhusu jino.
Huyu jamaa alinifanya niangue kicheko mbele za watu Kama chiziView attachment 1400649View attachment 1400650View attachment 1400651View attachment 1400653
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah😀😀😀😀Kuna mada moja nakumbuka ilikuwa serious kidogo... mjadala motomoto.. akaandika sista mmoja "mi napita tu na papuchi yangu mbichi" nilicheka kwa nguvu sana siku ile...
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀View attachment 1401198
Uzi unnauliza demu mlokutana nae mtandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ulipotelea wapi? Nilikuwa nakutafta sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] mimi ni ke mkuu
Zoë huu uzi umenichekesha sana. Kuna collection ya majibu sio ya nchi hii, watanzania hapa tupo vizuri. Mimi nakumbuka jamaa alileta yake aliyoambiwa asali/aombe kwa kiingereza. Nilicheka kupita kawaida.
Mimi?Hujanifikia mie, by the way umepotea sana dada.
Zoë huu uzi umenichekesha sana. Kuna collection ya majibu sio ya nchi hii, watanzania hapa tupo vizuri. Mimi nakumbuka jamaa alileta yake aliyoambiwa asali/aombe kwa kiingereza. Nilicheka kupita kawaida.
Siku hizi kakuaHata sikumbuki vizuri ila kuna comment niliwahi kucheka hadi machozi i think ilikuwa ni ya Baba Swalehe
Yes On and Off. Harakati za maisha tu!!I miss you more, ulipotelea wapi.
weka link nimetafuta huo uzi sijaiuona