Nimechelewa kufahamu hilo!!
Nilishakukataza kuniita mkuu ....Hujui uniiteje!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Mkuu
Nipo mkuu, shwari?
Huyu jamaa na matola huwa wana komenti za kibabe sana..
Huyu huyu jamaa kwenye uzi wangu fulani alikomenti kitu. Mama sabrina akamkoti akamwambia "Kua postive Anamtafutia mtu" Jamaa akamjibu "Nikiwa Postive utanisaidia kumeza ARV"View attachment 1401791
Sent using Jamii Forums mobile app
Shwari tuNipo mkuu, shwari?
😀😆😀kweli eeh! Ngoja nikiendeleze
Huu uzi ndo ulinifanya niipende sana jf, kipindi kile ndo nilikuwa najiunga. Aisee, kuna watu wana vituko si mchezo. Nakumbuka kuna jamaa alisema alipokuwa anaenda kupanda ndege kwa mara ya kwanza, alivaa macheni kibao, mapetepete vidoleni na miwani juu ili akifika watu wamwone mjanja. Kufika akakuta abiria wengine wamevaa simple tu. Akajiona boya sana 😀,😀😀😀😀Lakin uzi unaoongoza kwa kuchekesha humu ni ule “siku ya kwanza kupanda ndege”
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiendeleze[emoji3][emoji38][emoji3]kweli eeh! Ngoja nikiendeleze
Jukwaa la wakubwa huwezi kuweka link kwasababu ni only for few people
[emoji16][emoji16][emoji16]naikumbuka hii alipata likes 100Kuna uzi ulianzishwa unasema Mvua ikiwa inanyesha unapenda kufanya nini.?
Jamas mmoja akakomenti kua anapenda kuwa ananyoa ma***zi na kuyatupa dirishani halafu anakua anayaangalia yanavyopelekwa na maji.
Nimeikumbuka nikabaki.kucheka sana
Haahaahaa...chizi hilo[emoji16]Huyu jamaa na matola huwa wana komenti za kibabe sana..
Huyu huyu jamaa kwenye uzi wangu fulani alikomenti kitu. Mama sabrina akamkoti akamwambia "Kua postive Anamtafutia mtu" Jamaa akamjibu "Nikiwa Postive utanisaidia kumeza ARV"View attachment 1401791
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaahaa[emoji16][emoji16][emoji16]...kumbe umekuja lione haahaaChizi ww unayeangua kilio..kwenye mpapai.
Afu kwenye huo uzi kuna jamaa alikomenti.
"Kwani waitalia wakati wanawabagua akina baloteli walichukua dakika ngapi?
Ahaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uwiii[emoji3][emoji3][emoji3]Sorry Kama ulichukia.
Kuna mmoja alinifrausha alisema ukiwa huna hela jua linakupiga mpaka linakwambia wewe fala usiponunua gari ntakupiga mpaka uwe wa njano. Na hizo nywele zinaota puani zitajaa mpaka ushindwe kupumua.