Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Hivi Padri Mcharo kapotelea wapi?
Jamaa alikuwa amepinda vibaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alikuwa amepinda vibaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ule uzi upo kwenye jukwaa pendwa kuhusu migegedo.
Sasa ulikuwa unahusu vitu gani vya kuchekesha mpenzi wako anongea kipindi mgegedo umekolea.
Kuna manzi mmoja alikuwa anamwambia jamaa " Naomba unitukanie kwa sauti Rais....fuli"
Jamaa alikuwa anapata wakati mgumu ukizingatia mzee baba hajaribiwi. Akawa anatukana tu kumridhisha manzi, "Wee ..... Fuli .... K... Mamko" [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii sisahau hata kuja kwa masiha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo itigi nimwalimu wa madrasaHivi Padri Mcharo kapotelea wapi?
Jamaa alikuwa amepinda vibaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh!! Pole sana baba bulubendi.
Kuna coment moja sikumbuki ilikuwa kwenye uzi gani
Jamaa ali coment kitu halafu akajibiwa
"Kama huna cha kuandika vua chupi kaa pembeni"
Aiseeeee!!....nilicheka sana siku hiyo
Enough Of No Love
Kuna coment moja sikumbuki ilikuwa kwenye uzi gani
Jamaa ali coment kitu halafu akajibiwa
"Kama huna cha kuandika vua chupi kaa pembeni"
Aiseeeee!!....nilicheka sana siku hiyo
Enough Of No Love
Inaonekana ww siyo mkongwe Jf
[emoji3][emoji3][emoji3]Mdau mmoja wa Magari alianzisha mada inahusu "Jinsi ya kuwasha gari kwa dharura pale betri ikiwa imegoma",katika maelezo yake akazungumzia kwamba unafunga kamba kwenye tairi then kuna maelezo yakaendelea..baada ya kumaliza sasa
Kama kawaida kuna jamaa akacoment "kwa sisi tunaotumia betri za sim unatusaidiaje?
Sasa jibu alilopewa hapo chini na mdau mmoja anajiita Ochumeraa huwa nikikumbuka mpaka leo nacheka sana[emoji23]
[emoji23][emoji23]da!View attachment 1401129View attachment 1401130
Sent using Jamii Forums mobile app
We mtoto jina na avatar yako navipendaga sn, vinapunguza njaa kwakweli.
Mshaanza ss, haya nani uyo[emoji3][emoji3][emoji3]