Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

😀😀😀Sorry Kama ulichukia.

Kuna mmoja alinifrausha alisema ukiwa huna hela jua linakupiga mpaka linakwambia wewe fala usiponunua gari ntakupiga mpaka uwe wa njano. Na hizo nywele zinaota puani zitajaa mpaka ushindwe kupumua.
Niliona hii comment aisee nilicheka sana,eti usipokua na hela hadi nywele zinajiotea bila adabu sehemu yoyote hadi puani ili ushindwe kupumua ujifie😀😀😀 jf sihamiii
 
Mi leo kanichekesha huyu Member anaitwa Mla Bata. Kuna uzi wa jamaa anasema mke wangu akinuna na mimi nanuna basi jamaa akaandika

"Kama nawaona mnavyonuniana kama mtu na mke mwenza yani"

Basi nijikuta tu naangua kicheko. Mana ukifikiria mtu na mke mwenza wanavyonuniana au kupigana mijicho kwa hasira ndio nikabaki natafakari sijui ikiwa hivyo kunakuwa na hali gani humo ndani. 😅😅
 
Kulikuwa na uzi kupata aibu baada ya kutoa hewa chafu, sasa mkuu mmoja katoka huko na kuingia uwani akijua yupo mwenyewe akajamba kwa sauti kubwa kumbe mama yake alikuwepo hapo yaani alisikia tu Jehovah Jehovah miwani ikishushwa juu pua na kumwambia kwa raha zako baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi leo kanichekesha huyu Member anaitwa Mla Bata. Kuna uzi wa jamaa anasema mke wangu akinuna na mimi nanuna basi jamaa akaandika

"Kama nawaona mnavyonuniana kama mtu na mke mwenza yani"

Basi nijikuta tu naangua kicheko. Mana ukifikiria mtu na mke mwenza wanavyonuniana au kupigana mijicho kwa hasira ndio nikabaki natafakari sijui ikiwa hivyo kunakuwa na hali gani humo ndani. 😅😅
Basi punguza kucheka kidogo mkuu.
 
Kuna member aliwahi kupost anaulizia member flani yuko wapi mbona kapotea jukwaani, comment zilizofuatia ilikuwa vichekesho na masikitiko mixer.. Kuna wajinga wakamzushia kuwa hana masikio na kupotea kwake atakuwa hospitali wanayapachika😀😆😀
 
Mi leo kanichekesha huyu Member anaitwa Mla Bata. Kuna uzi wa jamaa anasema mke wangu akinuna na mimi nanuna basi jamaa akaandika

"Kama nawaona mnavyonuniana kama mtu na mke mwenza yani"

Basi nijikuta tu naangua kicheko. Mana ukifikiria mtu na mke mwenza wanavyonuniana au kupigana mijicho kwa hasira ndio nikabaki natafakari sijui ikiwa hivyo kunakuwa na hali gani humo ndani. [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah ila kweli
 
Kulikuwa na uzi kupata aibu baada ya kutoa hewa chafu, sasa mkuu mmoja katoka huku na kuingia uwani akijua yupo mwenyewe akajamba kwa sauti kubwa kumbe mama yake alikuwepo hapo yaani alisikia tu Jehovah Jehovah miwani ikishushwa juu pua na kumwambia kwa raha zako baba

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa
 
Kuna member aliwahi kupost anaulizia member flani yuko wapi mbona kapotea jukwaani, comment zilizofuatia ilikuwa vichekesho na masikitiko mixer.. Kuna wajinga wakamzushia kuwa hana masikio na kupotea kwake atakuwa hospitali wanayapachika[emoji3][emoji38][emoji3]

Ahhaha hizo nyuzi zilikuwa zinachekesha sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] huyo pepo kamaliza kila kitu
kwenye Uzi wa mshana wa vituko kuna MTU ali comment

"bibi mmoja aliingia chooni akiomba asikutane na pepo mchafu ghafla akasikia sauti

KWA UCHI GANI Hebu kunya uondoke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81]
 
Mwendawazimu mmoja anaitwa kiduku lilo threads zake utacheka na alivyo serious ndo shida inakuwa kubwa zaidi....i wish nimwone akisimulia.
 
Huyu jamaa hapa reyzzap nae hua ananiachaga hoi na comment zake..

Hii ilikua kali..
Ulipata likes 121,

kwenye ule uzi wa
"Ukipewa lift usikimbilie siti ya mbele"
Screenshot_20200401-214543.jpg


Nyingne hii Nayo watu walicheka kila yule kwa saut yake kwenye ule uzi wa.
"Mabasi 47 ya Mohamed trans kupigwa mnada"
Screenshot_20200401-214459.jpg
 
Back
Top Bottom