Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Oooooh!!!!Ahsante Mkuu.Ni yeye....
Hii naikumbukaaa....
Hii user name yako imenikumbusha Mother land.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooooh!!!!Ahsante Mkuu.Ni yeye....
Hii naikumbukaaa....
Hii user name yako imenikumbusha Mother land.
"Kama huna cha kuchangia vua chupi kaa pale."Kuna coment moja sikumbuki ilikuwa kwenye uzi gani
Jamaa ali coment kitu halafu akajibiwa
"Kama huna cha kuandika vua chupi kaa pembeni"
Aiseeeee!!....nilicheka sana siku hiyo
Enough Of No Love
waliopo huko wanatosha hawahitajiki wengine max alisema
numbisa mshauri ande kule. Uzi wako wa ( free stress) atafurahiNyingi sana
umefutwa?? Najaribu kuutafuta siupati
numbisa mshauri ande kule. Uzi wako wa ( free stress) atafurahi
Karibu tena
Mtwara kweli maji machafu haswaa!!Kuna ya jamaa mmoja alikuwa anaelezea maji ya bomba ya Mtwara yalivyo machafu, anasema hadi inawabidi wayatumie kizalendo, wanasubiri tope linatuama chini ndio wanayatumia.
Nilicheka sana huo uzalendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Serious yaani vumbi haswaa yanaweza toka vumbi tu huwezi kunywa maji bila kuyachuja au kuchemshaDuuh!!
Kwani huyu controla sio KIGOGO2014 kweli?CONTROLA huwa ananichekesha Mara nyingi Sana
Yaani jinsi anavyoandika[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee pole yao, nimeshangaa sana kwa mkoa kama Mtwara kuwa na maji ya namna hiyo.Serious yaani vumbi haswaa yanaweza toka vumbi tu huwezi kunywa maji bila kuyachuja au kuchemsha
Sent using Jamii Forums mobile app