ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Bora uyo kuna mdau alikoment et anajigalagaza juu ya majabali😂😂Alisema JIWE JUU YA MAWE
Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora uyo kuna mdau alikoment et anajigalagaza juu ya majabali😂😂Alisema JIWE JUU YA MAWE
Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
Yeye mara zote alikuwa ni mtu wa kuzipanga na wanaume wa JF. Sijui alikuwa mod.Mkuu na wewe hii comment yako imenichekesha, michango yake ilikuwaje kwani.
Umenichanganya[emoji23][emoji23]Hii hapa Zoë inaonyesha u are missed
Umenichanganya
Unamaana zoe na edelyn wana relate ?
Hahah uyu jamaa alinichekesha kwakwl kwny post ya juz ya mzee baba
Ngoja nikae kitakoSubiri atajibu mhusika
Shida ni kuwa nasahau, hapa sikumbki hata moja. Ila kila siku lazima nikutane na comment ya kuchekesha sana.Yoyote unayoikumbuka
Ni nyingi kiasi nazisahau. Ila nimeikumbuka hii moia jana kwenye post ya mwana mfalme kugundulika na Corona kuna jamaa akasema "corona ni htatari hata ukilala juu ya mawe ni kazi bure tu"Fanya kuweka mkuu
kwenye Uzi wa mshana wa vituko kuna MTU ali commentNi nyingi kiasi nazisahau. Ila nimeikumbuka hii moia jana kwenye post ya mwana mfalme kugundulika na Corona kuna jamaa akasema "corona ni htatari hata ukilala juu ya mawe ni kazi bure tu"
Nae huyu aliua jana😂😂😂😂eti anajigalagaza juu ya jiwe, amekuwa mjusi au,Bora uyo kuna mdau alikoment et anajigalagaza juu ya majabali😂😂
Itakuwa una ny*ege tu mbona comment ya kawaida sana.Habari zenu wana JF, niende moja kwa moja kwenye mada.
Kwa sisi ambao tunapenda sana kucheka [emoji16][emoji16], JF imekuwa na mchango mkubwa sana katika kutusaidia kupunguza stress kupitia michango ya wadau mbalimbali.
Ninaamini kila mtu ameshakutana na comments nyingi ambazo yeye binafsi anaona zilimchekesha, na kinachomchekesha mmoja siyo lazima kimchekeshe mwingine maana tunatofautiana.
Kuna ile comment mtu unacheka, unalike hiyo comment iliyokuchekesha, yanapita unasahau then maisha mengine yanaendelea, ila ninaamini kila mtu ana ile comment moja humu ambayo ilimchekesha kuliko zote kiasi kwamba hajaisahau hadi leo na akiikumbuka bado anacheka.
Siyo vibaya kama ukimtaja mtoa comment, kichwa cha uzi ambao hiyo comment inapatikana, pamoja na kunukuu hiyo comment yenyewe, kama bado utakuwa unakumbuka hivyo vyote.
Mimi binafsi comment iliyonichekesha kuliko zote ni ya mdau mmoja hivi anajiita GeoMex kwenye uzi mmoja wa Mshana Jr wenye kichwa kinachosomeka "Tafsiri ya kukutana kimwili", ambapo kwa ufupi mada ilikuwa inasema kuwa siku hizi watu wengi wanakutana kimwili ili mradi tu as unakuta tendo wanafanya watu wawili ila mmoja tu ndiyo anashughulika huku mwingine haoneshi ushirikiano wowote.
Sasa huyo jamaa niliyemtaja hapo juu akacomment hivi, "Teh teh teh kama baba askofu Gwajiboy, anakata viuno na makalio kabana kama mfuniko wa kopo la kimbo binti hana habari" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], akirefer ile video ya ngono iliyosambaa ya askofu Gwajima na yule dada.
Aiseee nikiri kuwa tangu nimejiunga JF nimekutana na comments nyingi zimenichekesha na nyingi nimeshazisahau, ila hiyo comment jamani ni ya tangu mwaka jana ila hadi leo ikinijia kichwani huwa nacheka peke yangu na huwa najiuliza watu sijui wanawazaga nini yaani.
Yawezekana zipo comments nyingi humu za kuchekesha ambazo hatujakutana nazo, wewe taja japo moja tu kati ya zile ulizowahi kukutana nazo, ambayo kwako binafsi hadi leo unaona ndiyo the most humorous of all the comments you've come across in here, ili tuzijue na nyingine ambazo zinachekesha ila hatujawahi kukutana nazo tucheke wote.
Kuna watu humu ni vituko sana, kwa sasa watu ninaowakubali kwa funny ni kiduku lilo na yule mtanesco.kwenye Uzi wa mshana wa vituko kuna MTU ali comment
"bibi mmoja aliingia chooni akiomba asikutane na pepo mchafu ghafla akasikia sauti
KWA UCHI GANI Hebu kunya uondoke😂😂😂😂😂😹😹