Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

Kuna dada mmoja anaitwa Edelyn
Sijui alipotelea wapi

Michango yake ya ki feminism ilikuwa inanichekesha sana
Edelyn hata mimi alikuwa ananikosha sana mkuu. Tena ukikuta anapambana na jamaa mmoja anaitwa Lizarazu basi ilikuwa patashika nguo kuchanika. Halafu akapotea ghafla. Labda alishaolewa na kuamua kuachana kabisa na mambo ya feminism [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwakweli hizi comment nikiwa na stress nazisoma nacheka mpaka mwisho.
Cc CONTROLA, @linko.
CONTROLA.jpeg
Linko.jpeg
Linko2.jpeg
Linko3.jpeg
Linko%203b.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani
'Mi nadhani wangempotezea tu, kwani hakuna nakala nyingine ya hicho kitabu hapo Kilosa?'. Hii comment ilinichekesha sana, ilikuwa ni ya member mmoja hivi ID yake nimeisahau, akijaribu kuchangia maoni yake kuhusu yule jamaa wa Kilosa aliyechoma moto kitabu cha Quran.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii niliwahi kuiona kwenye status ya mtu nilicheka
kwenye Uzi wa mshana wa vituko kuna MTU ali comment

"bibi mmoja aliingia chooni akiomba asikutane na pepo mchafu ghafla akasikia sauti

KWA UCHI GANI Hebu kunya uondoke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81]
 
'Mi nadhani wangempotezea tu, kwani hakuna nakala nyingine ya hicho kitabu hapo Kilosa?'. Hii comment ilinichekesha sana, ilikuwa ni ya member mmoja hivi ID yake nimeisahau, akijaribu kuchangia maoni yake kuhusu yule jamaa wa Kilosa aliyechoma moto kitabu cha Quran.
[emoji16][emoji16][emoji16]Naikumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Edelyn hata mimi alikuwa ananikosha sana mkuu. Tena ukikuta anapambana na jamaa mmoja anaitwa Lizarazu basi ilikuwa patashika nguo kuchanika. Halafu akapotea ghafla. Labda alishaolewa na kuamua kuachana kabisa na mambo ya feminism [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Oohh sasa umeshanijua enh, hata sielewi dada basi tu mdogo wako naye mambo mengi. Ila nakuahidi sitabadili tena hii ndiyo ya mwisho, maana hata mods nao wameshanichoka.
Ni nyingi mno Dear.. Kuna watu nikiona tu Comment zao hata kama ni uzi serious naanza kucheka.. Maana ni Vituko.
BTW mbona unabadili ID Dada yako sina taarifa..
Kila siku naiyona hii ID naishia kujiuliza ni nani huyu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Mi nadhani wangempotezea tu, kwani hakuna nakala nyingine ya hicho kitabu hapo Kilosa?'. Hii comment ilinichekesha sana, ilikuwa ni ya member mmoja hivi ID yake nimeisahau, akijaribu kuchangia maoni yake kuhusu yule jamaa wa Kilosa aliyechoma moto kitabu cha Quran.
Ni kweli hakukuwa na haja ya ku mind kwa vitu ambavyo vinaweza kuwa replaced.
 
Edelyn hata mimi alikuwa ananikosha sana mkuu. Tena ukikuta anapambana na jamaa mmoja anaitwa Lizarazu basi ilikuwa patashika nguo kuchanika. Halafu akapotea ghafla. Labda alishaolewa na kuamua kuachana kabisa na mambo ya feminism [emoji16][emoji16][emoji16]
Unaweza kuta aliolewa na huyo huyo Lizarazu.
Jf ina mengi
 
Back
Top Bottom