Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Edelyn hata mimi alikuwa ananikosha sana mkuu. Tena ukikuta anapambana na jamaa mmoja anaitwa Lizarazu basi ilikuwa patashika nguo kuchanika. Halafu akapotea ghafla. Labda alishaolewa na kuamua kuachana kabisa na mambo ya feminism [emoji16][emoji16][emoji16]Kuna dada mmoja anaitwa Edelyn
Sijui alipotelea wapi
Michango yake ya ki feminism ilikuwa inanichekesha sana