Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

Vizuri sana kama hujambo mkuu

I'd mpya ila mwandiko wako siyo mgeni kwangu[emoji1]

Halafu kama vile mimi na wewe tuna ukaribu fulani hivi Amaizing toka mwanzo japo ndo Id mapya(umefungua nyingine)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapana mkuu hatuna ukaribu wowpte macho yako tu yamefananisha
 
[emoji1787][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji2]
 
Yaani hii kitu nimecheka usiku kitandani....! Yaani kila nikikumbuka nacheeeeka I see
 
Sema nimesahau ila uzi ulikuw unahusiana na athari za chaputa kuna jamaa kaka comment "hata sielew ngoja nikapige moja kwanza ndo nirud kusoma"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…