Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

😀😀
Screenshot_20201226-082027.png
 
Kuna jamaa hapa JF ila sikumbuki alikua nani,alisema yeye alikua anamkamua demu akawa demu yuko chini mwana yuko juu ila kila jamaa akikaribia kufika kileleni yule demu anamshika matako mchizi anampanua kuelekea feni inapopuliza upepo bao linapotea anaanza kazi upya,hahahah.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji28]
 
Kuna uzi unasema Jambo gani la kutisha uliwahi kukutana nalo hutasahau maisha yako ?

Mkuu mmoja akareply kuwa kuna siku alimka usiku akawahi namba shule kumbe ni usiku wa manane na alipofika akakutana na wachawi wamewasha Moto wanacheza darasani akakimbia mbio na njiani akatokewa na jitu reefu likamkimbiza.Baadae likaacha kumkimbiza akafika home akawaambia wazazi wake yaliyomkuta.. jamaa alinichekesha ni aliye reply comment hiyo akasema "Hata Mimi huyo huyo alinikimbiza" nilicheka Hadi machozi
 
Naikumbuka hii comment[emoji16][emoji16][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji12][emoji12][emoji12]Hyo shii shii ya mlevi sasa kama namuona hvi mkono umemlegea hauna nguvu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom