Ni daraja gani lisilopitika . . .nieleze nipae angani!!!

Ni daraja gani lisilopitika . . .nieleze nipae angani!!!

It's not so hard to cross the bridge , it all depends in who's awaitin for you in the other side !
Nadanganya Arushaone ?

Kama daraja linapitika na bado huwezi kuvuka,
Au pengine roho yako inasita . . . basi ujue kuna walakini.
But, the closer you move . . the closer and greater discovery of response you get!

Lets take an example of dancing while in zero distance . . .hailetagi changes kweli hata kama ni kwa upande mmoja??

BTW, No matter how things hold complications,
If you are still in love with the person . . . there comes a moment utatamani awepo nawewe
Hasa pale ukikumbuka mazuri yake au moyo wako ukiwa bado una imani naye!

Halafu mr Judge inaonekana kabisa una desire something ila hauna uhakika na huyo alieko upande wa pili . . . LOL! YNNAH Plizzzzzzzzzzz!

Ila bado sijajua iwapo ndo umeguswa hapo tu au it was just a comment.
 
Last edited by a moderator:
1. hujaniita kuja kuuona huu wimbo, ntaandamana!
2. ninatumi ki simu kidogo siwezi ona huo wimbo
3. how are you Kipipi a.k.a KP a.k.a keyp**p**


hahah . . .nataka kujua hapo penye blue umeandika nini??
Mie mzima wa afya, sijui wewe.

Alafu wewe, yaani mpaka nikutaje?
Kwani we sio rafiki??

Hii ni kwa wote wenye mapenzi mema.
 
Kipipi asante sana kwa compliment hii ya weekend
Nimependa kila kitu maneno ya wimbo, mandhari na mwimbaji pia
Wouh nahitaji mapumziko siku moja na my lovely lady aise mbali mbali na mji na kelele za magari na watu na moshi wa viwanda
Nikae sehem nisikie sauti za ndege na miti tuu na ikiwezekana maji ya bahari au ziwa
 
Last edited by a moderator:
Kama daraja linapitika na bado huwezi kuvuka,
Au pengine roho yako inasita . . . basi ujue kuna walakini.
But, the closer you move . . the closer and greater discovery of response you get!

Lets take an example of dancing while in zero distance . . .hailetagi changes kweli hata kama ni kwa upande mmoja??

BTW, No matter how things hold complications,
If you are still in love with the person . . . there comes a moment utatamani awepo nawewe
Hasa pale ukikumbuka mazuri yake au moyo wako ukiwa bado una imani naye!

Halafu mr Judge inaonekana kabisa una desire something ila hauna uhakika na huyo alieko upande wa pili . . . LOL! YNNAH Plizzzzzzzzzzz!

Ila bado sijajua iwapo ndo umeguswa hapo tu au it was just a comment.

Tangu nimejoin Jf, leo kwa mara ya kwanza ndo nimepata swali ! Likanikretia KIGUGUMIZI !
Na wewe Kipipi ndy umefanikiwa kua wa kwanza kunigugumizisha! Still kigugumizi at works !
Afu sijui kwa kingredha cha kidhungu kinaitwaje?
 
Last edited by a moderator:
Da Kipipi simu yangu haionyeshi hiyo song

Pole mdogo wangu, ntakuletea king'amudhi jioni uje uione!

But kwa baadhi ya maneno,
Here we can go . . .

Ni kitu gani kinachotufanya, mimi nawe tuwe mbali.
Ni daraja gani lisilpitika, nieleze nipae angani.

Nimechoka am so lonely.
Kila nipitapo watu wanitaka kimapenzi.
Siwezi kwakuwa, nimeshakuhifadhi wewe . . .ndani ya moyo wangu.

Because I love you
You always in ma mind
Ma heart . . . ma soul . .I just wanna be close to you!!!
 
Tangu nimejoin Jf, leo kwa mara ya kwanza ndo nimepata swali ! Likanikretia KIGUGUMIZI !
Na wewe Kipipi ndy umefanikiwa kua wa kwanza kunigugumizisha! Still kigugumizi at works !
Afu sijui kwa kingredha cha kidhungu kinaitwaje?


Kigugumizi isiwe kikwazo, ongea kwa vitendo basi au mifano pia!!
 
Kipipi asante sana kwa compliment hii ya weekend
Nimependa kila kitu maneno ya wimbo, mandhari na mwimbaji pia
Wouh nahitaji mapumziko siku moja na my lovely lady aise mbali mbali na mji na kelele za magari na watu na moshi wa viwanda
Nikae sehem nisikie sauti za ndege na miti tuu na ikiwezekana maji ya bahari au ziwa


Nashukuru umeipenda Mr Rocky!

Kweli kabisa, its all about creativity and maintainance.
Hongereni sana coz naona tunda MANGO linawakilisha vilivyo.

Hii naicopy kwa Nicas Mtei aje naye kudesa!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Pole mdogo wangu, ntakuletea king'amudhi jioni uje uione!

But kwa baadhi ya maneno,
Here we can go . . .

Ni kitu gani kinachotufanya, mimi nawe tuwe mbali.
Ni daraja gani lisilpitika, nieleze nipae angani.

Nimechoka am so lonely.
Kila nipitapo watu wanitaka kimapenzi.
Siwezi kwakuwa, nimeshakuhifadhi wewe . . .ndani ya moyo wangu.

Because I love you
You always in ma mind
Ma heart . . . ma soul . .I just wanna be close to you!!!

yani hapo tu niko hoi bin taaban. What a lovely song
 
Back
Top Bottom