Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Aaaah c'mon Mbaga Aladite ipo.Wakuu kwenye ishu ya jino tuambiane ukweli tuu, dawa ya jino ni kung'oa tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaah c'mon Mbaga Aladite ipo.Wakuu kwenye ishu ya jino tuambiane ukweli tuu, dawa ya jino ni kung'oa tuu.
Dawa ya jino ni kung'oa tuu.Aaaah c'mon Mbaga Aladite ipo.
Achukue huu ushauri.Wakuu kwenye ishu ya jino tuambiane ukweli tuu, dawa ya jino ni kung'oa tuu.
Hapana mkuuWakuu kwenye ishu ya jino tuambiane ukweli tuu, dawa ya jino ni kung'oa tuu.
Si kweliAchukue huu ushauri.
Ulishawahi kuumwa jino?Hapana mkuu
Eleza kidogo mkuuSi kweli
NdiyoUlishawahi kuumwa jino?
Sawa, mpe maelezo mtoa madaNdiyo
Naomba mwongozo mkuuNdiyo
Yapo matibabu mbalimbali. Yamato amuliwa na kiwango cha utobokaji, nafasi ya jino mdomoni, uwezo na mazingira ya mtoa huduma,......Eleza kidogo mkuu
Afanye dental consultation.Sawa, mpe maelezo mtoa mada
mkuu hapo ulipo nunua kitunguu saumu/swaumu, chukua punje kama sita zimenye vzuri kisha tupia mdomoni tafuna, ikiwezekana tafunia kwenye hlo jino linalouma, usiwahi kumeza au kutema hayo maji fanya kama unasukutua kwa dk 2, hapo unaweza tema au kumeza, siyo sumuSalaam
Waku kuna namna ya kutibu jino bila kulioondoa, linauma hatari.
Msaada, asanteni
Asante bossmkuu hapo ulipo nunua kitunguu saumu/swaumu, chukua punje kama sita zimenye vzuri kisha tupia mdomoni tafuna, ikiwezekana tafunia kwenye hlo jino linalouma, usiwahi kumeza au kutema hayo maji fanya kama unasukutua kwa dk 2, hapo unaweza tema au kumeza, siyo sumu
kabla ya kulala rudia tena hilo zoezi, ukiamka hilo jino likiwa bado linauma, nipo pale njoo uniite umbwa.
likishatulia usiache zoezi hilo uwe unafanya mara 2 au 3 kwa week, hutokaa usikie linauma hata kma limetoboka.
ukipona tuma ya vocha.
mkuu hapo ulipo nunua kitunguu saumu/swaumu, chukua punje kama sita zimenye vzuri kisha tupia mdomoni tafuna, ikiwezekana tafunia kwenye hlo jino linalouma, usiwahi kumeza au kutema hayo maji fanya kama unasukutua kwa dk 2, hapo unaweza tema au kumeza, siyo sumu
kabla ya kulala rudia tena hilo zoezi, ukiamka hilo jino likiwa bado linauma, nipo pale njoo uniite umbwa.
likishatulia usiache zoezi hilo uwe unafanya mara 2 au 3 kwa week, hutokaa usikie linauma hata kma limetoboka.
ukipona tuma ya vocha.
Habari yako.Salaam
Waku kuna namna ya kutibu jino bila kulioondoa, linauma hatari.
Msaada, asanteni
asante sana mkuu, ila mm sinukagi mdomo, hata nisiposwakiUshauri wa daktari uchwara. Hii ndo sababu wabongo wengi midomo inanuka na hamuachi kuumwa meno.
Nenda kwa dentist kapate ushauri wa kitaalam. Na usiache kwenda kwa dentist every six month kufanya dental cleaning, mswaki pekee hautoshi. Watu wenyewe hamfanya hata flossing.