Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
- Thread starter
- #41
Nipo dsm ndgHabari yako.
Pole sana, nakushauri nenda Hospital usije ukatoa jino. Siku hizi technology ni kubwa sana na wataalamu wapo wengi sana. Na vifaa vya kisasa vipo vingi. Usitoe jino. Narudia tena usitoa jino nenda kalizibe hospitali zipo kibao na clinic nyingi tena zinapokea bima na zina wataalamu mabingwa. Kama upo dsm sema nikupe suggestion