Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
- Thread starter
-
- #41
Nipo dsm ndgHabari yako.
Pole sana, nakushauri nenda Hospital usije ukatoa jino. Siku hizi technology ni kubwa sana na wataalamu wapo wengi sana. Na vifaa vya kisasa vipo vingi. Usitoe jino. Narudia tena usitoa jino nenda kalizibe hospitali zipo kibao na clinic nyingi tena zinapokea bima na zina wataalamu mabingwa. Kama upo dsm sema nikupe suggestion
Sasa leo usiku litakupigia show ya hatari na uhakika saa 12 asubuhi utakuwa umeripoti hospitalAsante, kesho naenda hospital
Anza na Colgate kama huduma ya kwanza japo linaweza kuacha kuuma mazima...Salaam
Waku kuna namna ya kutibu jino bila kulioondoa, linauma hatari.
Msaada, asanteni
Asante SanaAnza na Colgate kama huduma ya kwanza japo linaweza kuacha kuuma mazima...
kila baada ya kula sukutua, tema mapovu ila usiuoshe mdomo. Fanya hivyo kwa siku 3. dawa ya uhakika zaidi nikilitoa tuu.. Asante
Punje ya wali ikinasa huwa nachanganyikiwaSasa leo usiku litakupigia show ya hatari na uhakika saa 12 asubuhi utakuwa umeripoti hospital
Malizia akishapona aende akalizibe bila hivyo itajirudia tenatumia amoxicillin 4x3 na metronidazole 1x3 kwa cku tatu
DAWA YA JINO LILILOTOBOKA AU KULIWA NA WADUDUSalaam
Waku kuna namna ya kutibu jino bila kulioondoa, linauma hatari.
Msaada, asanteni