Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

Kupitia huu uzi na wachangiaji wa mada wanavyodadavu wengine tunajifunza jinsi ya kujihami na wezi. Kwa mfano, mimi nimejifunza mbinu ya kuacha maji wazi ili kujihami na wezi wanaotumia Kloroform wengine tulikuwa hatuijui.
hii ya maji nimeipenda me huwa c achagi kuingia na maji chumbani kwenye ndoo na beseni kwa ajili ya kunyanduana na waifu usiku,kumbe napiga two ina one bila kujua aisee ntaendelea kuiboresha zaidi
 
hii ya maji nimeipenda me huwa c achagi kuingia na maji chumbani kwenye ndoo na beseni kwa ajili ya kunyanduana na waifu usiku,kumbe napiga two ina one bila kujua aisee ntaendelea kuiboresha zaidi
maji yana kaz gan kwenye kunyanduana
 
Wala usidanganyike. Hakuna dawa ya kupuliza dirishani ikamfanya mtu alale fofo kiasi cha kutoshtuka. Dawa zile zipo lakini kwanza haziko effective kama tunavyodanganywa lakini pia ni adamu na ghali sana kuzipata kiasi kwanmba hakuna mtu wa kawaida akaweza kuzimiliki kirahisi hivyo. Wanachofanya wezi ni kwamba wanacheza na saikolojia ulya muhanga. Binadamu kuna kipindi fulani cha usiku anakuwa ndani ya usingizi mzito sana. Sasa wezi hawa hutumia kipindi hicho kufanya yao.
Mimi ni muhanga wa hao wezi i na ipo siku nitawakamata tu kwa uwezo wa Mola na nitafudi hapa na kuwaadithia kitakachowakuta.
Mmh mm nahs n dawa Maan sis wezi waliruka ukuta wakaingia ndan na waligusa Gari ikawa inapiga kelele sana Lakin hatukusikia na wlibeba Simu,,ela na wafungua gar wkaacha hvyo
 
Back
Top Bottom