900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
hii ya maji nimeipenda me huwa c achagi kuingia na maji chumbani kwenye ndoo na beseni kwa ajili ya kunyanduana na waifu usiku,kumbe napiga two ina one bila kujua aisee ntaendelea kuiboresha zaidiKupitia huu uzi na wachangiaji wa mada wanavyodadavu wengine tunajifunza jinsi ya kujihami na wezi. Kwa mfano, mimi nimejifunza mbinu ya kuacha maji wazi ili kujihami na wezi wanaotumia Kloroform wengine tulikuwa hatuijui.
Mkuu hamkuchezea kifiro?Mi kwangu waliku.nya kabsa wakaacha mzigo bila kuflash. Mpaka leo huwa nawaza walitumia muda gani.
Farouk Karimu123 TechnologyDawa gani hiyo kiongozi? Mie wamekomba kila kitu sebuleni, nalilia TV yangu flat screen 38'' Hakika ningeijua dawa ya aina hiyo ningewalipua!
maji yana kaz gan kwenye kunyanduanahii ya maji nimeipenda me huwa c achagi kuingia na maji chumbani kwenye ndoo na beseni kwa ajili ya kunyanduana na waifu usiku,kumbe napiga two ina one bila kujua aisee ntaendelea kuiboresha zaidi
Nami nasubiria jibumaji yana kaz gan kwenye kunyanduana
Mmh mm nahs n dawa Maan sis wezi waliruka ukuta wakaingia ndan na waligusa Gari ikawa inapiga kelele sana Lakin hatukusikia na wlibeba Simu,,ela na wafungua gar wkaacha hvyoWala usidanganyike. Hakuna dawa ya kupuliza dirishani ikamfanya mtu alale fofo kiasi cha kutoshtuka. Dawa zile zipo lakini kwanza haziko effective kama tunavyodanganywa lakini pia ni adamu na ghali sana kuzipata kiasi kwanmba hakuna mtu wa kawaida akaweza kuzimiliki kirahisi hivyo. Wanachofanya wezi ni kwamba wanacheza na saikolojia ulya muhanga. Binadamu kuna kipindi fulani cha usiku anakuwa ndani ya usingizi mzito sana. Sasa wezi hawa hutumia kipindi hicho kufanya yao.
Mimi ni muhanga wa hao wezi i na ipo siku nitawakamata tu kwa uwezo wa Mola na nitafudi hapa na kuwaadithia kitakachowakuta.