Ni dhahiri Baraza kuu la CHADEMA halitaketi hivi karibuni kwa hofu ya Corona, Mbowe ana hesabu kali!

Ni dhahiri Baraza kuu la CHADEMA halitaketi hivi karibuni kwa hofu ya Corona, Mbowe ana hesabu kali!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.

Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia CHADEMA inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.

Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.

Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hawa ndio content creators wa JF mpya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kila baada ya Dakika 5 inatupiwa thread ya maneno 30 na kumalizia na slogan ya Maendeleo hayana chama.
Bungeni kuna CCM, Bawacha, ACT wazalendo na CUF!
 
Bwashee mbna unaniangusha mana umepwaya sana
Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.

Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.

Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.

Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.

Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.

Maendeleo hayana vyama!
Ila jirekebishe Mkuu, vinginevyo utapuuzwa na kuwekwa kundi la kina Kawe Alumni ambao hata akianzisha kitu cha maana kinaonekana ushuzi.
 
Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.
Rufaa haifuti hukumu ya nyuma. Unatekeleza hukumu pending appeal, mara chahe adhabu kuwa suspended pending appeal. Pamoja na kuwa hii siyo kama kesi ya madai per se, lakini kifungu hiki kinakupa mwanga njia ipi uifuate ubapotatizwa kutoa maamuzi
3) In any civil proceedings, where a notice of appeal has been lodged in accordance with rule 83, an appeal, shall not operate as a stay of execution of the decree or order appealed from nor shall execution of a decree be stayed by reason only of an appeal having been preferred from the decree or order; but the Court, may upon good cause shown, order stay of execution of such decree or order.
 
Rufaa haifuti hukumu ya nyuma. Unatekeleza hukumu pending appeal, mara chahe adhabu kuwa suspended pending appeal. Pamoja na kuwa hii siyo kama kesi ya madai per se, lakini kifungu hiki kinakupa mwanga njia ipi uifuate ubapotatizwa kutoa maamuzi
3) In any civil proceedings, where a notice of appeal has been lodged in accordance with rule 83, an appeal, shall not operate as a stay of execution of the decree or order appealed from nor shall execution of a decree be stayed by reason only of an appeal having been preferred from the decree or order; but the Court, may upon good cause shown, order stay of execution of such decree or order.
Hukumu bado haijatekelezwa!
 
Back
Top Bottom