Ni dhahiri Baraza kuu la CHADEMA halitaketi hivi karibuni kwa hofu ya Corona, Mbowe ana hesabu kali!

Ni dhahiri Baraza kuu la CHADEMA halitaketi hivi karibuni kwa hofu ya Corona, Mbowe ana hesabu kali!

Kuna watu wanaumwa 'paranoid' baada ya kuukosa upinzani.

Mmojawapo ni huyu mshika mikoba wa Lumumba.
 
Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.

Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.

Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.

Maendeleo hayana vyama!
Shida yako huyo unayemtaja zaidi amekuwa mwiba mchungu kwako kiasi cha kukunyima usingizi.
 
Rufaa haifuti hukumu ya nyuma. Unatekeleza hukumu pending appeal, mara chahe adhabu kuwa suspended pending appeal. Pamoja na kuwa hii siyo kama kesi ya madai per se, lakini kifungu hiki kinakupa mwanga njia ipi uifuate ubapotatizwa kutoa maamuzi
3) In any civil proceedings, where a notice of appeal has been lodged in accordance with rule 83, an appeal, shall not operate as a stay of execution of the decree or order appealed from nor shall execution of a decree be stayed by reason only of an appeal having been preferred from the decree or order; but the Court, may upon good cause shown, order stay of execution of such decree or order.
Afadhali wewe umetoa ufafanuzi wa maana, hao wengine wanatoa povu tu na kurusha 'mananii' bila kujibu hoja ya mleta mada.
 
Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.

Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.

Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.

Maendeleo hayana vyama!
Ahsante mwandishi wa CHADEMA.
 
[emoji2][emoji2][emoji2] hawa ndo wa akina lemtuz papa mobimba....kutwa kujitia aibu mitandaoni..

Kazi na umri.
Umri ni namba tu bwashee ndio maana mzee Freeman Mbowe kafurushwa Hai na kijana mdogo kabisa Mh Ole Sabaya!
 
CDM ni akili kubwa; mtaendelea kuhangaika sana!!
 
Back
Top Bottom