Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Kuna watu wanaumwa 'paranoid' baada ya kuukosa upinzani.
Mmojawapo ni huyu mshika mikoba wa Lumumba.
Mmojawapo ni huyu mshika mikoba wa Lumumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na usipoendelea kunipa heshima nitakuzaba vibao.Shikamoo babu. Japo una pumba ila nilishajiambia lazima nikupe heshima yako.
Shida yako huyo unayemtaja zaidi amekuwa mwiba mchungu kwako kiasi cha kukunyima usingizi.Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.
Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.
Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.
Maendeleo hayana vyama!
Afadhali wewe umetoa ufafanuzi wa maana, hao wengine wanatoa povu tu na kurusha 'mananii' bila kujibu hoja ya mleta mada.Rufaa haifuti hukumu ya nyuma. Unatekeleza hukumu pending appeal, mara chahe adhabu kuwa suspended pending appeal. Pamoja na kuwa hii siyo kama kesi ya madai per se, lakini kifungu hiki kinakupa mwanga njia ipi uifuate ubapotatizwa kutoa maamuzi
3) In any civil proceedings, where a notice of appeal has been lodged in accordance with rule 83, an appeal, shall not operate as a stay of execution of the decree or order appealed from nor shall execution of a decree be stayed by reason only of an appeal having been preferred from the decree or order; but the Court, may upon good cause shown, order stay of execution of such decree or order.
Ahsante mwandishi wa CHADEMA.Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.
Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.
Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.
Maendeleo hayana vyama!
Mbowe ana akili kuliko wanachama wote wa Chadema kwa pamoja!
Mpeleke kwa Halima James Mdee akale na posho ya ubunge!
Demokrasia ina gharama zake na katika hilo nampongeza sana Mbowe!Bwashee unapwaya sana
[emoji2][emoji2][emoji2] hawa ndo wa akina lemtuz papa mobimba....kutwa kujitia aibu mitandaoni..Mbaya zaidi ni mzee lakini anaishi kama mtu wa form 2
Umri ni namba tu bwashee ndio maana mzee Freeman Mbowe kafurushwa Hai na kijana mdogo kabisa Mh Ole Sabaya![emoji2][emoji2][emoji2] hawa ndo wa akina lemtuz papa mobimba....kutwa kujitia aibu mitandaoni..
Kazi na umri.
Hakuna adhabu kubwa duniani kama umaskini lazima uwe mtumwa[emoji2][emoji2][emoji2] hawa ndo wa akina lemtuz papa mobimba....kutwa kujitia aibu mitandaoni..
Kazi na umri.
Sasa bungeni tuna Bawacha, ACT wazalendo na CUF kwenye kambi ya Upinzani by Ndugai!Hakuna adhabu kubwa duniani kama umaskini lazima uwe mtumwa
Wanatusaidia nini sisi, bakini naoSasa bungeni tuna Bawacha, ACT wazalendo na CUF kwenye kambi ya Upinzani by Ndugai!
Chadema hii hii ya Robert Amsterdam?CDM ni akili kubwa; mtaendelea kuhangaika sana!!