Ni dhahiri Baraza kuu la CHADEMA halitaketi hivi karibuni kwa hofu ya Corona, Mbowe ana hesabu kali!

Ni dhahiri Baraza kuu la CHADEMA halitaketi hivi karibuni kwa hofu ya Corona, Mbowe ana hesabu kali!

Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.

Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.

Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.

Maendeleo hayana vyama!
Tumia akili kdg, kwani mikutano haiwezi kufanyika online mpk watu wakae sehemu moja?
 
Hawa ndio content creators wa JF mpya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kila baada ya Dakika 5 inatupiwa thread ya maneno 30 na kumalizia na slogan ya Maendeleo hayana chama.
Kwa tuliokuwa enzi ya JamboForums tukapumzika kurudi tuna kuta vitu hivi 😵
 
Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.

Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.

Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.

Maendeleo hayana vyama!
Ni jambo jema kwa mustakabali wa taifa letu.
 
Utakuwa umevuta bangi,
Um block kwa kosa lipi, ina maana huheshimu uhuru wa maoni kwa wenzako?
Nyie ndo mnasema uhuru na haki au ni wengine?
Bangi amenipa mama yako? Matusi ya nini?
 
Back
Top Bottom