Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Upinzani upi? Bado mnaweka magunzi na betri pamoja?Chadema ni chama kikuu cha upinzani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upinzani upi? Bado mnaweka magunzi na betri pamoja?Chadema ni chama kikuu cha upinzani!
Mbowe ana akili kuliko wanachama wote wa Chadema kwa pamoja!C unajua tena ujinga wa uzeen lazma afe nao
Bawacha ni Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni!Upinzani upi? Bado mnaweka magunzi na betri pamoja?
Kambi ya Ndugai hiyo hamna kitu paleBawacha ni Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni!
Kile kikosi kitawatoeni kimasomaso!Kambi ya Ndugai hiyo hamna kitu pale
Tumia akili kdg, kwani mikutano haiwezi kufanyika online mpk watu wakae sehemu moja?Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.
Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.
Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.
Maendeleo hayana vyama!
Mbaya zaidi ni mzee lakini anaishi kama mtu wa form 2Mie hili jamaa nilishalipuuza kitambo sana. Ubongo lishamkabidhi polepole limebakiza makalio tu kutumia kufikiria.
Baraza Kuu la Chadema unalijua lakini?Tumia akili kdg, kwani mikutano haiwezi kufanyika online mpk watu wakae sehemu moja?
Wewe ndiyo M/kiti wao?Baraza Kuu la Chadema unalijua lakini?
Kwa sababu sasa hivi hamtawafukuza na mtapambana kwa hali na mali kuwaonesha bunge live ikiwemo kuwapa muda tele wa kuongea?Kile kikosi kitawatoeni kimasomaso!
Kwa tuliokuwa enzi ya JamboForums tukapumzika kurudi tuna kuta vitu hivi 😵Hawa ndio content creators wa JF mpya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kila baada ya Dakika 5 inatupiwa thread ya maneno 30 na kumalizia na slogan ya Maendeleo hayana chama.
Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara!
Ni jambo jema kwa mustakabali wa taifa letu.Mwenyekiti wa Chadema kupitia twitter amesema " Tanzania Corona iko tele" na ameitaka serikali kuchukua tahadhari.
Kwa maana nyingine Freeman Mbowe anatuambia Chadema inachukua tahadhari zote za kupambana na Corona ikiwemo social distancing.
Na kwa maana hiyo vikao vya watu wengi kama Baraza Kuu la Chadema haviwezi kuketi kwa namna yoyote ile hadi Corona itakapotokomezwa kabisa.
Hivyo basi Halima James Mdee na wenzake watabakia kuwa washindi kwa sababu rufaa zao hazitasikilizwa.
Maendeleo hayana vyama!
Napigia mstariChadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara!
Utakuwa umevuta bangi,Anatia kinyaa, huyu ni wa Ku block. Nilikuwa namchukulia kama MTU sensible toka Lumumba kumbe hovyo!
Bangi amenipa mama yako? Matusi ya nini?Utakuwa umevuta bangi,
Um block kwa kosa lipi, ina maana huheshimu uhuru wa maoni kwa wenzako?
Nyie ndo mnasema uhuru na haki au ni wengine?
Mpeleke kwa Halima James Mdee akale na posho ya ubunge!Hivi umeolewa?
Mdogo wangu anataka mke!