ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Labda mwaka 2100Ni kweli, katiba kwa njia ya amani hawataipata, lakini hata sisi tunajua katiba ya maridhiano itakuwa ya kisanii. Katiba ya kweli ya wananchi itapatikana aidha kwa machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi fullstop.