Lini aliacha kufanya kazi? Huyo ndio engine ya CCM, maraisi wote aliwaweka kiganjani kwakeMkuu; yaani nchi hii kati ya watu ambao huwa ninawaona ni wazalendo kabisa ni pamoja na huyu mtu. Halafu sasa yuko smart na mstaarabu sana. Akiona mnamletea za kuleta, anatoweka au anakaa pembeni. RA mimi huwa namuona kati ya watu muhimu sana kwenye nchi hii; sawa tu kama alivyokuwa Hayati R. Mengi.
Huyu mtu amerudi kufanya kazi naomba sana watu sasa wasimbugudhi tena; wamwache afanye kazi.
Ina maana hata CAG anayefanya ukaguzi na kungundua ubadhirifu na kuweka wazi nae ana wivu?Watanzania wivu sana ... Nimeliona hivi masikini Tanzania usimuonee huruma kabisa fanya yako
Hii sio chuki, wewe hujitambui.Umasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia. wewe ni MCHAWI.
ILIYOPO INAKUNYIMA NINI? INATATIZO GANI MPAKA UMEKUWA UMRI HUO SI UNGEKUWA UMESHAKUFA?Hujui matumizi ya katiba?Kwa hiyo katiba haina faida katika Taifa?!🐒🐒🐒
Huyu tang kipind cha Mwendazake alikua kweny line!!Ni wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.
Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?
Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno.
SEMA KUNA MAMBO YA KUREKEBISHA TU MACHACHE LAKINI MMEKOMAA UTAFIKIRI ILIYOPO HAIFANYI KAZI MBONA ILIPOANDIKWA HAMKUIKATAA? YAANI WEWE HUNA TOFAUTI NA NDOTO ZA KILA MWANAMKE MVIVU KUTAKA KUOLEWA NA TAJIRIKwa hiyo uthibitisho kuwa katiba iliyopo haifai ni wananchi kufa?Kwamba kama wananchi wanapumua basi katiba iliyopo ni bora sana na haina tatizo?
Urafiki wa Rostam na serikali ya ccm ulianza kitambo kabla na wakati wa enzi ya mwendazake. Unakumbuka maneno ya Magufuli pale Morogoro wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha Rostam? Au pale Kigamboni akizindua Taifa Gas?Ni wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.
Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?
Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno.
Ardhi ipo tele Tanzania. Shughulikia na mambo yako kwanza, ukikaa sawa kiuchumi kelele hizo hazitakuwepoNi wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.
Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?
Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno.
Uzinduzi wa kiwanda chake cha Morogoro ndicho kitovu cha kuwa na Rais wa bila kuchaguliwa na Wananchi.
Exactly, maana ukilialia haitobadili kituSijui inamsaidia nn kila uchao kufungua nyuzi, sijui wanahisi hapa JF ukifungua nyuzi nyingi kuna mgao wa pesa au la.
Yaan badala ya kufanya kazi sisi ni malalamiko kila siku.
Rostam huwa haishi kwa hasara hata dak moja, Igunga kawaachia nyumba za tembe tupuNi wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.
Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?
Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno.
Ni malalamikoHayo sio malalamiko
Huyu ni tapeli tupuMkuu; yaani nchi hii kati ya watu ambao huwa ninawaona ni wazalendo kabisa ni pamoja na huyu mtu. Halafu sasa yuko smart na mstaarabu sana. Akiona mnamletea za kuleta, anatoweka au anakaa pembeni. RA mimi huwa namuona kati ya watu muhimu sana kwenye nchi hii; sawa tu kama alivyokuwa Hayati R. Mengi.
Huyu mtu amerudi kufanya kazi naomba sana watu sasa wasimbugudhi tena; wamwache afanye kazi.