Huyu ni mtu wa mipangoMkuu; yaani nchi hii kati ya watu ambao huwa ninawaona ni wazalendo kabisa ni pamoja na huyu mtu. Halafu sasa yuko smart na mstaarabu sana. Akiona mnamletea za kuleta, anatoweka au anakaa pembeni. RA mimi huwa namuona kati ya watu muhimu sana kwenye nchi hii; sawa tu kama alivyokuwa Hayati R. Mengi.
Huyu mtu amerudi kufanya kazi naomba sana watu sasa wasimbugudhi tena; wamwache afanye kazi.
Kulialia tu kulialia tu oh tumeibiwa oh nyanganyagaPunguza kulalamika jamaa. Unalalamika sana aisee. Unasahau umri wako unaenda na siku hazirudi nyuma! Jaribu kupambania life lako sometimes sio kulalamika tu kila siku.
Eti tukae mkao wa kutafunwa, utafunwe nini wewe. Kwann kila kitu unakiona kwenye negative tu aisee, ni tabia mbaya sana. Yaani wewe kwakuwa tu ulikuwa na mahaba na Magu basi automatically unajiweka kwenye nafasi ya kumchukia mama na matokeo yake unachukia kila anachofanya, unajisababishia magonjwa ya moyo bure we jamaa. Kulalamika hakukusaidii kunakuzeesha na kukupa simanzi za kudumu.
Simama anza kuwaza positive na kama hii itakushinda basi kaa kimya. Focus kwenye afya yako na familia yako
Yeye anafikiri akilalamika atabadili kituHuna akili bhana, malalamiko kibao kama mwanamke mjane bhana.. mwanaume pambana acha kulialia utachezewa choo kizembe.
Ndy kalime yote utafutajiUnataka nikalime bangi ndio ujue na pambana ? Acha kuwa shwain.
Jizi lazima lichukiwe!Umasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia
Nani atafunwe!! Utatafunwa peke yako aiseeNi wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.
Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?
Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno.
Tunafanya nn na sisi tuingie kwenye
Mfumo ambao wao wanaushikilia
Huyu ni mtu wa mipango
Mzee wa biashara za kimataifa,
Mzee wa connection
unaweza kufikia level ya Rostam ww
Issue ni kuwa Rostam anatia sahihi hapo kama mtendaji yupi wa serikali? Kama deal binafsi, Rais na hizo bendera za nini?Umasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia. wewe ni MCHAWI.
Watu wengine banaWashamba masalia ya Magufuli mnateseka sana mbwakoko nyie
πππππUzinduzi wa kiwanda chake cha Morogoro ndicho kitovu cha kuwa na Rais wa bila kuchaguliwa na Wananchi.
Sasa mtu anaitwa Nyankurungu unategemea awaze kitu gani?Umasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia. wewe ni MCHAWI.
Wewe ni zaidi ya mchawi.Umasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia. wewe ni MCHAWI.
Sasa hapo maana yake hakuna haja ya kuwa na serikali.Ni malalamiko
Asilimia kubwa tunaishia kulalamika tu
Tunafanya nn na sisi tuingie kwenye
Mfumo ambao wao wanaushikilia
Na familia zao
We pambana kwa style yako tu
Ova
Kuingia kwenye mfumo,namanishaSasa hapo maana yake hakuna haja ya kuwa na serikali.
Serikali kazi yake ni kuleta maendeleo kwa watu wake kupitia Kodi wanazotoa. Ikiwa Kuna kundi linachukua hizo kodi serikali inapaswa kupambana nalo.
Kusema watu waingie kwenye mfumo wote wa kula hivyo, si itakua failed state Kama Somalia.
Nchi zote zenye Maendeleo unazoona Ni sababu serikali zao zipo makini kwenye mambo Kama hayo
We mamayo....una akili kweli?Umasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia. wewe ni MCHAWI.
Wewe kwa akili ya kuvukia barabara huwezi kuelewa.UNAKAMULIWAJE SASA WEWE MLALA HOI?