Pre GE2025 Ni dhahiri Lissu ndiye Rais ajaye wa JMT

Pre GE2025 Ni dhahiri Lissu ndiye Rais ajaye wa JMT

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Nina hoja
  1. Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
  2. CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
  3. Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
  4. Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
  5. CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
  6. Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.

Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
 
Basi huu wa maboksi a.k.a maboski ndio unavitimbwi maradufu.

Eti mkipiga kura mnaondoka halafu wao wakiwa peke yao wanahesabu then wanawatangazia mshindi.

Labda hizo kura ahesabu Yesu.
Mkuu
Hao ni binadamu, na sisi ni binadamu.

Tuyafanya vile wanavyofanyaga
 
Hamna upinzani unachukua nchi. Wa mwisho alikua Lowasa. Waliobakia kila siku kuita press kupigana vijembe na kila mtu kumjibu mwenzake. Upinzani una safari ndefu sana
 
Nina hoja
  1. Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
  2. CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
  3. Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
  4. Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
  5. CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
  6. Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.

Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
Leo nimefahamu kumbe una kifafa cha msimu..!
 
Mkuu
Hao ni binadamu, na sisi ni binadamu.

Tuyafanya vile wanavyofanyaga
Na CCM kuiba kura watajitetea hivyo hivyo kuwa nao ni binadamu.

Panapo onekana kuwa na suluhu yenye mbadala kwenye mazingira ambayo kwa miaka yote mmekuwa mkitumia njia moja ile ile inayowaumiza wa upande mmoja

Mi nadhani ni vyema kuwekeza mawazo eneo hilo zaidi ili kupata matokeo ambayo yatakuwa fair.
 
Nina hoja
  1. Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
  2. CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
  3. Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
  4. Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
  5. CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
  6. Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.

Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
Nape amejichimbia wapi ??! 😳
 
Nina hoja
  1. Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba. Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
Hili la TAL kushinda urais wa JMT is possible but only if Watanzania tutakuwa wajinga kama Wamarekani!. Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Hivyo ili kuzuia
Watanzania tutsifanye
ujingaa kama ule wa
Wamarekani nimeshauri Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?
P
 
Nina hoja
  1. Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
  2. CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
  3. Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
  4. Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
  5. CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
  6. Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.

Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
😀 😀 😀 😀 😀akiwa rais naukana mazima uraia wa bongo. Toka lini rais akawa Vuvuzela??
 
Back
Top Bottom