Kwani Watanzania huwa wanachagua nini?. Wana chagua chama, mgombea wa CCM ndie rais wa JMT, CCM hata ikisimamisha jiwe, jiwe linapita!.
Ila Maza nimemshauri hapa kwenye HII kitu!.
P
..Mama Abduli atakuwa mgombea asiye na uwezo kuzidi wote katika historia ya wagombea wa Ccm. Ngoja tuone itakuwaje, lakini ukweli ndio huo.