imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ulikuwa uchaguzi huo au uchafuzi!Kumbukumbu zako haziko sawa, kwani Lissu mwaka 2020 si aligombea Urais? Unajua alipata kura asilimia ngapi?
![]()
Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2020 - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.m.wikipedia.org
Umenena vema sana.Kufanya rejea ya uchaguzi wa 2020 kama kipimo ni matumizi mabaya ya akili.
Mwenye chama keshaswmaMene Mene Tekekeli na Peresi
Mene Mene Tekekeli na Peresi
Duh 🙄 !Hii nchi inataka kiongozi mwenye msimamo kama yule jamaa wa Bukina Faso, sio hawa watu kila siku taarabu lakini hawajahi kuongea kuhusu matatizo ya kiuchumi na solutions zake.
Chagueni mtu yoyote kati yao lakini hakuna hata mmoja mwenye pumbu za kusimama kwenye ukweli, wote ni fake tu na wakichaguliwa watakuwa vibaraka kama hawa wa sasa.
Tumsaidie yeye kama yeye kwa maana yeye ni mpango wa Mungu 🙏🙏 !Sie yeye akiyeamua kuwa rais wa JMT, ni Mungu ndiye kampangia Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania! hivyo atampa uwezo huo.
Hivyo kama ni huyu ndie tuliyepangiwa nae, the best thing we can do ni kumsaidia aweze Magufuli alikuwa na kibali kikafutwa! Rais ni kibali, anajitambua? Je, tumsaidie atimize matakwa ya kibali chake ili kisifutwe, au tumuachie mwenyewe?
P
Labda naye ni mpango wa Mungu ???! 😳CCM tuache utani.
Tujipange haswa.
Huyu jamaa anakubalika sana.
Sijui kwa nini.
Yes kabisa 2030 naona wapinzani wanachukua! Nipo 100% Sure wananchi watakua wamechoka sasa, wanataka mabadiliko.!
Wewe mzee code zako hizo sio poa! Bora useme tu! HahahahahKwani Watanzania huwa wanachagua nini?. Wana chagua chama, mgombea wa CCM ndie rais wa JMT, CCM hata ikisimamisha jiwe, jiwe linapita!.
Ila Maza nimemshauri hapa kwenye HII kitu!.
P
Mwaka huu haitawezekana! Chadema hawapo kwenye utulivu.! wajipange 2030 kuna mageuzi makubwa Sana! Historia inaenda kuwekwa! Huyu LISU akipita hapa hiyo 2030 anachukua URAISI!Mzee Paskali.
Hizi calculations za 2030 zina facts?
Mimi naona mwaka huu tutarajie yaaiyotarajiwa
Unajiliwaza sio, hujampata demu siku nyingi eti? Achana na ndoto za alinacha!! Urais hakuupata Lowasa na Mrema, aje aupate hicho kijitu chenu!!!Nina hoja
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.
- Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
- CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
- Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
- Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
- CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
- Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
Nakubaliana na wewe 200%Nina hoja
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.
- Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
- CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
- Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
- Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
- CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
- Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
Walisema vivyo hivyo kwa Trump na akachukua😀 😀 😀 😀 😀akiwa rais naukana mazima uraia wa bongo. Toka lini rais akawa Vuvuzela??