Pre GE2025 Ni dhahiri Lissu ndiye Rais ajaye wa JMT

Pre GE2025 Ni dhahiri Lissu ndiye Rais ajaye wa JMT

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mnataka kutuletea chizi asiye na sera yoyote zaidi ya domo kubwa kweli? Ila ukilinganisha na huyu wa mkono wa mungu unashindwa uchague nini kati ya matapixxx na mavxxx.
Wewe una sera gani
 
Tupe ufafanuzi wa utafiti wako maana seems unaongea kama mtangaza matokeo ya uchaguzi
Chadema ndio chama kikuu cha upinzani! kwa uchaguzi wa Mwaka huu hawana utulivu! Na mchakato wa kushinda huwa unapitia hatua fulani fulani za maandalizi. Nikijaribu kuangalia kwa jicho la tatu Mwaka huu Mama atarudi tena. Ni vema chadema wakawa na long term plans za mwaka 2030.

Nina uhakika 2030 Upinzani watashida! Huo ni utabiri wangu
 
Sasa huu nao utaita uchaguzi? Wenzetu huwa mnatumia nini kufikiri?


Kwa hiyo if was not 2020 General Election, ilikuwa nn? Acheni upumbafu, CHADEMA wapuuzi sana, if was not, Tundu Lissu alipiga kampeni na kupigiwa kura na kuwa recorded na data zipo, na alipata kura kidogo sanaaaaa, kwa hiyo kama sio Uchaguzi alipiga kampeni kuomba nini? Hata kura kama alipata 1% zilikuwa za nini? Acheni upumbavu.

Na 2025 Lissu akigombea hawezi pata hata 5% ya Total votes, sababu hana ushawishi mkubwa kulinganisha na mgombea wa CCM, na hii iko wazi, CHADEMA wenyewe kwa wenyewe uchaguzi tu wa Mwenyekiti umewashinda, ni chaos, upuuzi mtupu, je ikija General Election ndio kabisa hata 5% ya kura ya Urais mkipata mna bahati sana.
 
Ila P uandishi wako unafurahisha Sana. Ili kukuelewa lazima akili isetiwe reversed gear🤣🤣🤣🤣
Tanzania tuna majinga mengi kuliko waelewa, mimi naandikia waelewa, na waelewa wananielewa sana, majinga nayaacha na ujinga wao!.

Siku za mwisho JPM alikuja kuwa mwelewa na tukaelewana sana, ukitoa ushauri humu, unafanyiwa kazi imediately!. Mama yeye sio kama JPM alikuwa anasoma mwenyewe na ku act instantly, Mama ana cha changamoto kidogo, inabidi kwenda nae mdogo mdogo na ikibidi tumsaidie somo lieleweke!.

P
 
Nina hoja
  1. Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
  2. CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
  3. Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
  4. Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
  5. CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
  6. Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.

Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
Akiwa raisi atatushitaki MIGA.
 
Nina hoja
  1. Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
  2. CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
  3. Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
  4. Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
  5. CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
  6. Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.

Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
Hakuna mpinzani atakayewazidi hawa;-
1. Agustino Lyatonga Mrema
2. Christopher Mtikila
3. Maalim Seif Sharrif Hamad (ZNZ)
4. Edward Lowassa

Pamoja na umaarufu na ushawishi wao kwenye siasa za Tanzania waliishia kuiona Ikulu kwenye TV au wakipita karibu na Magogoni.

Urais wa Tanzania utapewa na Mungu tu, kama walivyopata akina Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia. Hawa wote hawakuwa maarufu kuzidi washindani wao wa nyakati zao
 
Kwenye maburungutu ya mama abduli wange mtafuta huyu/ consultant.
Professor Nic Cheeseman
Wa University of Birmingham.

Anakitabu chake na kina mbinu nyingi Sana ""how to rig an election without getting caught"
 
Wamarekani ni vinara wa women empowerment lakini wao wameshindwa kuiishi, ku implement kwa kumeweka rais mwamamke wao sera ni kwa waafrika ndio muimplement wao hapana , kwa nini ? Wanajua udhaifu wa mwanamke vinginevyo wangetoa mfano kwa kuanza kuchagua rais mwanamke.
 
Usiyempenda ndo Amiri Jeshi Mkuu in waiting
Namuomba Mungu akuweke mpaka baada ya uchaguz lkn amini Mungu kijitu chenu hakiwezi shinda urais wa nchi hii, labda wa TLS, hata marehemu bibi yako huko aliko anafahamu hilo. Usijiliwaze, mtasubir sana kwa siasa mnazofanya!!
 
Basi huu wa maboksi a.k.a maboski ndio unavitimbwi maradufu.

Eti mkipiga kura mnaondoka halafu wao wakiwa peke yao wanahesabu then wanawatangazia mshindi.

Labda hizo kura ahesabu Yesu.
Mkuu,uchaguzi wa kidigitali Kwa malofa wa kiteknolojia kama sisi haufai
 
Back
Top Bottom